Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anna Makinda aeleza dhamira ya kutogombea uspika

 

Spika wa Bunge la Tanzania Anna Makinda ameelezea dhamira yake ya kutogombea kwa mara nyingine nafasi hiyo ya uspika na kusema kipindi cha miaka 40 ndani ya Bunge kimetosha, na sasa atasalia kuwa mshauri kwa spika wa bunge lijalo.

Spika Makinda amehudumu kama spika kwenye bunge hilo kwa kipindi cha miaka mitano, na sasa anaamua kustaafu uongozi ndani ya siasa.

  Spika Makinda anaondoka huku akiacha historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika wa bunge la Tanzania, ambaye pia anajivunia...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Makinda kutogombea ubunge

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amesema amekuwa mbunge kwa miaka 40, hivyo ameamua kuwaachia wengine na kuwaonya wanawake wanaogombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu ujao kutolia au kulalamika jukwaani kwani ni udhaifu mkubwa.

 

9 years ago

Mtanzania

Makinda aukimbia uspika

1126*Aingia mitini dakika za mwisho licha ya kampeni

*Mpambano mkali kwa Sitta, Nchimbi, Ndugai

 

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

VITA ya kuwania uspika wa Bunge, imepamba moto huku Spika anayemaliza muda wake Anne Makinda, akishindwa kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, tofauti na ilivyotarajiwa.

Habari zilizolifikia MTANZANIA jana jioni zinaeleza kuwa, Makinda ameshindwa kuchukua fomu kutokana na ushauri aliopata kutoka kwa watu wake wa karibu wakiwamo makada wenye heshima...

 

9 years ago

GPL

SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA - ANNE MAKINDA

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam kuhusiana na kuachana na uongozi katika siasa. Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda leo jijini Dar es Salaam. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne...

 

10 years ago

Mwananchi

Spika Anna Makinda achachamaa

Spika wa Bunge, Anne Makinda amezitaka kamati tatu za Bunge ambazo wenyeviti wake walitakiwa kuwajibika kutokana na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow, kufanya uchaguzi wa wenyeviti wengine kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 18 wa Bunge, Januari 27 mwaka huu mjini Dodoma.

 

10 years ago

Raia Mwema

Makinda, Anna Abdallah, Ndugai ‘out’

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda, Naibu wake, Job Ndugai na mmoja wa wabunge wakongwe hap

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Dewji Blog

Mh. Anne Makinda kutogembea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

pic 1

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamko la kutogombea Uspika Msimu huu hawapo pichani katika mkutano wake  uliofanyika leo jijini Dar es salaam.

pic 2

Waandishi wa habari wakifatilia kwa makini maelezo anayotoa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda hayupo pichani alipotoa tamko la kutogombea tena Uspika wa Bunge msimu huu.

pic 3

Spika wa bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda...

 

9 years ago

Michuzi

SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA-ANNE MAKINDA


Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa ofisi ndogo za Bunge  jijini Dar es Salaam kuhusiana na kuachana na uongozi katika siasa.
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda amejing'atua rasmi na kuachana na  uongozi katika siasa kutokana na kufanya kazi za Siasa kwa miaka 40.
ameyasema hayo alipokua akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Manji kutogombea uenyekiti Yanga

Wakati Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji akitangaza kutokugombea tena nafasi hiyo, Katibu Mkuu wa Yanga, Laurance Mwalusako amefungashiwa virago ndani ya klabu hiyo na nafasi yake sasa kuchukuliwa na Benno Njovu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani