Anna Makinda aeleza dhamira ya kutogombea uspika
Spika wa Bunge la Tanzania Anna Makinda ameelezea dhamira yake ya kutogombea kwa mara nyingine nafasi hiyo ya uspika na kusema kipindi cha miaka 40 ndani ya Bunge kimetosha, na sasa atasalia kuwa mshauri kwa spika wa bunge lijalo.
Spika Makinda amehudumu kama spika kwenye bunge hilo kwa kipindi cha miaka mitano, na sasa anaamua kustaafu uongozi ndani ya siasa.
Spika Makinda anaondoka huku akiacha historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika wa bunge la Tanzania, ambaye pia anajivunia...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Aug
Makinda kutogombea ubunge
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amesema amekuwa mbunge kwa miaka 40, hivyo ameamua kuwaachia wengine na kuwaonya wanawake wanaogombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu ujao kutolia au kulalamika jukwaani kwani ni udhaifu mkubwa.
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Makinda aukimbia uspika
*Aingia mitini dakika za mwisho licha ya kampeni
*Mpambano mkali kwa Sitta, Nchimbi, Ndugai
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
VITA ya kuwania uspika wa Bunge, imepamba moto huku Spika anayemaliza muda wake Anne Makinda, akishindwa kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, tofauti na ilivyotarajiwa.
Habari zilizolifikia MTANZANIA jana jioni zinaeleza kuwa, Makinda ameshindwa kuchukua fomu kutokana na ushauri aliopata kutoka kwa watu wake wa karibu wakiwamo makada wenye heshima...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MAKINDA.jpg?width=650)
SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA - ANNE MAKINDA
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Spika Anna Makinda achachamaa
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Makinda, Anna Abdallah, Ndugai ‘out’
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda, Naibu wake, Job Ndugai na mmoja wa wabunge wakongwe hap
Mwandishi Wetu
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Mh. Anne Makinda kutogembea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamko la kutogombea Uspika Msimu huu hawapo pichani katika mkutano wake uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
Waandishi wa habari wakifatilia kwa makini maelezo anayotoa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda hayupo pichani alipotoa tamko la kutogombea tena Uspika wa Bunge msimu huu.
Spika wa bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aRzRwGR9Tn8/VkWsK-Ey-sI/AAAAAAAIFo8/RT45NrrSYhw/s72-c/IMG_4147.jpg)
SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA-ANNE MAKINDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aRzRwGR9Tn8/VkWsK-Ey-sI/AAAAAAAIFo8/RT45NrrSYhw/s640/IMG_4147.jpg)
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda amejing'atua rasmi na kuachana na uongozi katika siasa kutokana na kufanya kazi za Siasa kwa miaka 40.
ameyasema hayo alipokua akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Manji kutogombea uenyekiti Yanga