Makinda, Anna Abdallah, Ndugai ‘out’
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda, Naibu wake, Job Ndugai na mmoja wa wabunge wakongwe hap
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Anna Abdallah ataka vigogo wapigwe rungu
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Ndugai, Abdallah Mwinyi wapenya uspika
*Naibu Mwansheria Mkuu naye apitishwa na CC
*Sitta atafakari sababu za kukatwa kwake, Dk. Nchimbi, Masaburi ‘Out’
NA DEBORA SANJA, DODOMA.
KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC), imepitisha majina matatu ya wanachama wake waliomba kugombea nafasi ya uspika wa Bunge.
Majina yaliyopitishwa ni aliyekuwa Naibu Spika katika Bunge la 10, Job Ndugai, mtoto wa Rais mstaafu wa awamu ya pili, Abdullah Ali Mwinyi pamoja na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Tulia Akson.
Kupitishwa kwa majina...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Spika Anna Makinda achachamaa
9 years ago
StarTV14 Nov
Anna Makinda aeleza dhamira ya kutogombea uspika
Spika wa Bunge la Tanzania Anna Makinda ameelezea dhamira yake ya kutogombea kwa mara nyingine nafasi hiyo ya uspika na kusema kipindi cha miaka 40 ndani ya Bunge kimetosha, na sasa atasalia kuwa mshauri kwa spika wa bunge lijalo.
Spika Makinda amehudumu kama spika kwenye bunge hilo kwa kipindi cha miaka mitano, na sasa anaamua kustaafu uongozi ndani ya siasa.
Spika Makinda anaondoka huku akiacha historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika wa bunge la Tanzania, ambaye pia anajivunia...
10 years ago
Daily News24 Mar
Abdallah appointed TSN Deputy ME
Daily News
THE Board of Directors of the Tanzania Standard (Newspapers) Limited (TSN), has appointed Ms Tuma Abdallah as the company's new Deputy Managing Editor (DME) effective April 1. The new DME has been with TSN for more than 23 years and served in ...
10 years ago
Daily News29 Sep
Abdallah: Include sports in Katiba
Daily News
Daily News
COMMITTEE number ten of the Constituent Assembly (CA) has proposed the inclusion of sports in the proposed Draft Katiba that was officially presented here on Wednesday Committee chairperson Anna Abdallah said sports have been neglected for a long ...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Abdallah Gama arejea Sikinde
BENDI Kongwe ya muziki wa dansi nchini Mlimani Park Orchestral ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’ imemrejesha kundini mpiga gitaa zito la besi, mwanamuziki wake wa zamani Abdallah Gama. Mwanamuziki huyo alitambulishwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VfugM-9gWrw/Vh3yTfzfB4I/AAAAAAAH_5Q/PzGBSN58oOA/s72-c/download.jpg)
Kwaheri Dr. Abdallah Omari Kigoda.