Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makinda, Anna Abdallah, Ndugai ‘out’

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda, Naibu wake, Job Ndugai na mmoja wa wabunge wakongwe hap

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Anna Abdallah ataka vigogo wapigwe rungu

Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya Wabunge wa CCM, Anna Abdallah amesema wanachama wote wanaoendelea kukiuka kanuni na taratibu za chama hicho, lazima wachukuliwe hatua kali za kinidhamu.

 

9 years ago

Mtanzania

Ndugai, Abdallah Mwinyi wapenya uspika

mtz1*Naibu Mwansheria Mkuu naye apitishwa na CC

*Sitta atafakari sababu za kukatwa kwake, Dk. Nchimbi, Masaburi ‘Out’

NA DEBORA SANJA, DODOMA.

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC), imepitisha majina matatu ya wanachama wake waliomba kugombea  nafasi ya uspika  wa Bunge.

Majina yaliyopitishwa ni aliyekuwa Naibu Spika katika Bunge la 10, Job Ndugai, mtoto wa Rais mstaafu wa awamu ya pili, Abdullah Ali Mwinyi pamoja na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Tulia Akson.

Kupitishwa kwa majina...

 

10 years ago

Mwananchi

Spika Anna Makinda achachamaa

Spika wa Bunge, Anne Makinda amezitaka kamati tatu za Bunge ambazo wenyeviti wake walitakiwa kuwajibika kutokana na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow, kufanya uchaguzi wa wenyeviti wengine kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 18 wa Bunge, Januari 27 mwaka huu mjini Dodoma.

 

9 years ago

StarTV

Anna Makinda aeleza dhamira ya kutogombea uspika

 

Spika wa Bunge la Tanzania Anna Makinda ameelezea dhamira yake ya kutogombea kwa mara nyingine nafasi hiyo ya uspika na kusema kipindi cha miaka 40 ndani ya Bunge kimetosha, na sasa atasalia kuwa mshauri kwa spika wa bunge lijalo.

Spika Makinda amehudumu kama spika kwenye bunge hilo kwa kipindi cha miaka mitano, na sasa anaamua kustaafu uongozi ndani ya siasa.

  Spika Makinda anaondoka huku akiacha historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika wa bunge la Tanzania, ambaye pia anajivunia...

 

10 years ago

Daily News

Abdallah appointed TSN Deputy ME


Abdallah appointed TSN Deputy ME
Daily News
THE Board of Directors of the Tanzania Standard (Newspapers) Limited (TSN), has appointed Ms Tuma Abdallah as the company's new Deputy Managing Editor (DME) effective April 1. The new DME has been with TSN for more than 23 years and served in ...

 

10 years ago

Daily News

Abdallah: Include sports in Katiba


Daily News
Abdallah: Include sports in Katiba
Daily News
COMMITTEE number ten of the Constituent Assembly (CA) has proposed the inclusion of sports in the proposed Draft Katiba that was officially presented here on Wednesday Committee chairperson Anna Abdallah said sports have been neglected for a long ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Abdallah Gama arejea Sikinde

BENDI Kongwe ya muziki wa dansi nchini Mlimani Park Orchestral ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’ imemrejesha kundini mpiga gitaa zito la besi, mwanamuziki wake wa zamani Abdallah Gama. Mwanamuziki huyo alitambulishwa...

 

9 years ago

Michuzi

Kwaheri Dr. Abdallah Omari Kigoda.

Na Profesa Mark MwandosyaImenichukua muda wa zaidi ya saa ishirini kuandika machache kuhusu Dr. Abdallah Omari Kigoda, aliyetutoka akiwa Hospitali ya Apollo, New Delhi, India baada ya kuugua kwa muda mfupi.  Katika kipindi hicho nimekuwa nikitafakari maneno gani yanaweza kumwelezea Dr. Abdallah Omari Kigoda, maneno ambayo yanaweza kumtendea haki, kuonyesha masikitiko yangu na familia yangu, na kutoa pole kwa familia yake, mkewe, watoto na ukoo wote wa Kigoda, wakiwa Handeni na popote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani