Abdallah Gama arejea Sikinde
BENDI Kongwe ya muziki wa dansi nchini Mlimani Park Orchestral ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’ imemrejesha kundini mpiga gitaa zito la besi, mwanamuziki wake wa zamani Abdallah Gama. Mwanamuziki huyo alitambulishwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 Jun
RC Gama alipuliwa bungeni
NA ARODIA PETER, Dodoma
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, amehusishwa na tuhuma za kutaka kumiliki ardhi kwa njia za kifisadi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo Wilaya ya Rombo mkoani humo.
Kutokana na hali hiyo, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kuzuia mchakato wowote haramu utakaofanywa na Gama kuhusu ardhi.
RC Gama, alitajwa bungeni na Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee...
10 years ago
TheCitizen11 Jun
Gama still in hot water
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Wabunge wazidi kumwandama RC Gama
NA ARODIA PETER, Dodoma
WABUNGE wa upinzani wa Mkoa wa Kilimanjaro wamemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza mchakato wa uwekezaji wa ardhi katika Halmashauri ya Rombo unaomhusisha Mkuu wa Mkoa huo, Leonidas Gama.
Wabunge hao wanamtuhumu Gama kuwa ametumia vibaya madaraka yake kwa kujiingiza kwenye biashara chafu ya kupora ardhi ya wananchi na kuwapa wawekezaji wageni wakati huo huo yeye pamoja na mtoto...
11 years ago
Mwananchi16 May
Waongoza watalii wamlilia RC Gama
9 years ago
Habarileo06 Dec
Mbunge Gama atema cheche
MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, ametoa wiki mbili kwa Mhandisi wa Maji wa manispaa hiyo, Samwel Sanya, kuhakikisha wakazi wa kata ya Luhuwiko wanapata huduma ya maji safi na salama.
10 years ago
Mtanzania10 Jun
RC Gama amjibu Halima Mdee
NA RODRICK MUSHI, MOSHI
SIKU moja baada ya Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee (Chadema), kumlipua Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, akidai kuwa amekuwa dalali wa viwanja, hatimaye amejibu mapigo na kusema kusakamwa kwake kunatokana na msimamo wake dhidi ya wa wanywaji pombe wilayani Rombo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, alisema kauli ya Mdee imejaa siasa, hasa kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, lakini hatorudi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zy7A3BE_J6k/VXhMLQ4T1LI/AAAAAAAHed8/5eXDgN_oqN8/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AOMBWA KUMWAJIBISHA RC GAMA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameombwa kumwajibisha mara moja Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bwn. Leonidas Gama kwa kutumia vibaya madaraka yake na kujiingiza kwenye biashara chafu ya kupora na kuwapa wawekezaji wageni ardhi ya wananchi mkoani humo. Ombi hilo limetolewa leo na Mbunge wa Rombo, Mkoani Kilimanjaro Mhe. Joseph Selasini alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa Bunge, Mjini Dodoma.
Aidha, Mhe. Selasini ameitaka taasisi ya...
10 years ago
MichuziRC GAMA AKANA KUFANYA UDALALI WA ARDHI
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
SIKU moja baada ya kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kumlipua mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama kwa madai ya kufanya udalali na ufisadi katika uporaji wa ardhi ya wananchi ,mkuu huyo amejitokeza
mbele ya wanahabari na kukanusha tuhuma...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
‘Hila, uonevu hautatuondoa Makaani Gama’
WAKAZI wa Kijiji cha Makaani Gama, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo, wamesema hawataondoka katika kijiji chao kumpisha mwekezaji wa kampuni ya Eco-Energy kwa sababu mbinu zinazotumika ni za hila na...