‘Hila, uonevu hautatuondoa Makaani Gama’
WAKAZI wa Kijiji cha Makaani Gama, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo, wamesema hawataondoka katika kijiji chao kumpisha mwekezaji wa kampuni ya Eco-Energy kwa sababu mbinu zinazotumika ni za hila na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 May
‘Bravo’ JK kukemea uonevu wa polisi
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Gilba, hila ziepukwe Escrow
MOJA kati ya habari zilizopo kwenye ukarasa wa mbele wa gazeti hili ni harakati za serikali baadhi ya wabunge kuzima kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh bilioni 300, zilizohifadhiwa...
10 years ago
GPL![](http://www.ikulu.go.tz/files/publications/photos/111111.jpg?width=650)
HIVI KUNA HILA GANI KWENYE HILI LA KATIBA MPYA?
10 years ago
Mtanzania09 Jun
RC Gama alipuliwa bungeni
NA ARODIA PETER, Dodoma
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, amehusishwa na tuhuma za kutaka kumiliki ardhi kwa njia za kifisadi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo Wilaya ya Rombo mkoani humo.
Kutokana na hali hiyo, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kuzuia mchakato wowote haramu utakaofanywa na Gama kuhusu ardhi.
RC Gama, alitajwa bungeni na Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee...
10 years ago
TheCitizen11 Jun
Gama still in hot water
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Wabunge wazidi kumwandama RC Gama
NA ARODIA PETER, Dodoma
WABUNGE wa upinzani wa Mkoa wa Kilimanjaro wamemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza mchakato wa uwekezaji wa ardhi katika Halmashauri ya Rombo unaomhusisha Mkuu wa Mkoa huo, Leonidas Gama.
Wabunge hao wanamtuhumu Gama kuwa ametumia vibaya madaraka yake kwa kujiingiza kwenye biashara chafu ya kupora ardhi ya wananchi na kuwapa wawekezaji wageni wakati huo huo yeye pamoja na mtoto...
9 years ago
Habarileo06 Dec
Mbunge Gama atema cheche
MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, ametoa wiki mbili kwa Mhandisi wa Maji wa manispaa hiyo, Samwel Sanya, kuhakikisha wakazi wa kata ya Luhuwiko wanapata huduma ya maji safi na salama.
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Abdallah Gama arejea Sikinde
BENDI Kongwe ya muziki wa dansi nchini Mlimani Park Orchestral ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’ imemrejesha kundini mpiga gitaa zito la besi, mwanamuziki wake wa zamani Abdallah Gama. Mwanamuziki huyo alitambulishwa...
11 years ago
Mwananchi16 May
Waongoza watalii wamlilia RC Gama