‘Bravo’ JK kukemea uonevu wa polisi
Jana gazeti hili lilikuwa na habari iliyosema ‘JK akerwa polisi kubughudhi wananchi’. Habari hiyo ilikuwa ikielezea namna Rais Jakaya Kikwete alivyokerwa waziwazi na kitendo cha polisi kuwazonga na kuwasukuma wananchi waliokusanyika eneo la Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Oct
‘Hila, uonevu hautatuondoa Makaani Gama’
WAKAZI wa Kijiji cha Makaani Gama, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo, wamesema hawataondoka katika kijiji chao kumpisha mwekezaji wa kampuni ya Eco-Energy kwa sababu mbinu zinazotumika ni za hila na...
10 years ago
06 Oct
Bravo!
OCRegister
OCRegister
Fowler School of Law student Hope Forman recently returned from a trip to Tanzania, where she was involved with humanitarian work and research. CHAPMAN UNIVERSITY. Facebook; Twitter; Email; Comments; PRINT · SEND PDF. Chapman, Parasoft deal ...
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
Bravo JK kwa ukomavu wa kisiasa
Kutoka kwa Mhariri Mkuu wa MOblog Tanzania
Tumepokea kwa furaha kama waandishi wa habari za mtandaoni (Social Media) kwamba Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) wilayani Karatu kimefurahishwa na mchango unaotolewa na Rais Jakaya Kikwete katika kuchochea maendeleo bila upendeleo.
Tunasema hivyo kwa sababu huko nyuma kulikuwa na dhana ya kwamba sehemu ambazo (Majimbo) upinzani umechukua basi serikali huwa inachelewesha maendeleo kwa makusudi kwenye jimbo husika kwa kuwa ni la...
11 years ago
TheCitizen06 May
Bravo Kili Awards stars, but where’s our music?
11 years ago
IPPmedia19 Jul
Bravo CP Mpinga,other govt departments should emulate this example
IPPmedia
IPPmedia
Yesterday the public woke up to what it may be described as unexpected news after the commander of the traffic police unit, Commissioner of Police Mohammed Mpinga informed reporters that he had fired 27 traffic police officers for involvement in corruption ...
9 years ago
TheCitizen28 Dec
Bravo for addressing medical sector snags
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Bravo Msama kuyafariji makundi haya maalumu
WARATIBU wa matukio ya muziki wa Injili kupitia matamasha ya Pasaka na Krismasi, Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, wiki iliyopita walikabidhi misaada ya kibinadamu kwa vituo...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Bravo Kikwete kuitambua SHIWATA na malengo yake
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) chini ya Mwenyekiti wake, Caasim Taalib, leo wanafanya kongamano la umoja na mshikamano, tukio litakalofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Lamada, jijini Dar es Salaam....
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara
TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...