Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bravo JK kwa ukomavu wa kisiasa

Jakaya-Kikwete1

Kutoka kwa Mhariri Mkuu wa MOblog Tanzania

Tumepokea kwa furaha kama waandishi wa habari za mtandaoni (Social Media) kwamba Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) wilayani Karatu kimefurahishwa na mchango unaotolewa na Rais Jakaya Kikwete katika kuchochea maendeleo bila upendeleo.

Tunasema hivyo kwa sababu huko nyuma kulikuwa na dhana ya kwamba sehemu ambazo (Majimbo) upinzani umechukua basi serikali huwa inachelewesha maendeleo kwa makusudi kwenye jimbo husika kwa kuwa ni la...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Ukomavu wa kisiasa’ kuwapa wananchi #Katiba Mpya [VIDEO]

Watanzania wametakiwa kutokuwa na hofu kuhusu mchakato wa Katiba Mpya unaoendelea hivi sasa Bungeni Dodoma, kwani Katiba hiyo itapatikana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji ameonyesha ukomavu

TIMU ya Yanga, juzi ilifungwa mabao 3-1 na mtani wake Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe iliyofanyika chini ya uratibu wa wadhamini wao, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tuonyeshe ukomavu kidemokrasia

WAKATI Kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiwa zinaelekea ukingoni, tunawakumbusha wafuasi wa vyama na wa

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wameonesha ukomavu mkubwa

JANUARI 12 ya kila mwaka ni maadhimisho ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) yaliyofanyika usiku wa Januari 12, mwaka 1964; ambayo mwaka huu yanatimiza umri wa miaka 50. Kuelekea sherehe hizo...

 

9 years ago

Bravo!


OCRegister
Bravo! -- University accomplishments
OCRegister
Fowler School of Law student Hope Forman recently returned from a trip to Tanzania, where she was involved with humanitarian work and research. CHAPMAN UNIVERSITY. Facebook; Twitter; Email; Comments; PRINT · SEND PDF. Chapman, Parasoft deal ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Je, ishara ya ukomavu wa demokrasia au dalili za kansa ya siasa uchwara?

TOFAUTI kubwa ya msimu huu wa uchaguzi na misimu mingine iliyopita ni kishindo kilichosababishwa

Bashiru Ally

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bravo’ JK kukemea uonevu wa polisi

Jana gazeti hili lilikuwa na habari iliyosema ‘JK akerwa polisi kubughudhi wananchi’. Habari hiyo ilikuwa ikielezea namna Rais Jakaya Kikwete alivyokerwa waziwazi na kitendo cha polisi kuwazonga na kuwasukuma wananchi waliokusanyika eneo la Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza.

 

9 years ago

TheCitizen

Bravo for addressing medical sector snags

Beyond delivering joy to human beings, good health is a very crucial resource for personal and community benefit. Physically and emotionally fit people are resourceful engineers of their livelihoods, and part of the nation-building force.

 

11 years ago

IPPmedia

Bravo CP Mpinga,other govt departments should emulate this example


IPPmedia
Bravo CP Mpinga,other govt departments should emulate this example
IPPmedia
Yesterday the public woke up to what it may be described as unexpected news after the commander of the traffic police unit, Commissioner of Police Mohammed Mpinga informed reporters that he had fired 27 traffic police officers for involvement in corruption ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani