Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manji ameonyesha ukomavu

TIMU ya Yanga, juzi ilifungwa mabao 3-1 na mtani wake Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe iliyofanyika chini ya uratibu wa wadhamini wao, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maalim Seif ameonyesha mfano

RAIS  Jakaya Kikwete wiki iliyopita alilihutubia Bunge Maalumu la Katiba na kuweka msimamo wa chama chake CCM, kutaka serikali mbili badala ya tatu zilizopendekezwa katika rasimu ya Katiba. Rasimu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Blatter ameonyesha uwajibikaji, wengine wamfuate

Mapema wiki hii, Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka Duniani (Fifa), Joseph Blatter alitangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake na kuitisha mkutano wa dharura wa uchaguzi ili kumpata rais mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

Ole Sendeka: Sumaye ameonyesha udhaifu kwenda Ukawa

Mgombea ubunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ameonyesha udhaifu kisiasa kwa kuhamia upinzani kwa kuwa aliapiza Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa akipitishwa anahama chama.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tuonyeshe ukomavu kidemokrasia

WAKATI Kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiwa zinaelekea ukingoni, tunawakumbusha wafuasi wa vyama na wa

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Dewji Blog

Bravo JK kwa ukomavu wa kisiasa

Jakaya-Kikwete1

Kutoka kwa Mhariri Mkuu wa MOblog Tanzania

Tumepokea kwa furaha kama waandishi wa habari za mtandaoni (Social Media) kwamba Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) wilayani Karatu kimefurahishwa na mchango unaotolewa na Rais Jakaya Kikwete katika kuchochea maendeleo bila upendeleo.

Tunasema hivyo kwa sababu huko nyuma kulikuwa na dhana ya kwamba sehemu ambazo (Majimbo) upinzani umechukua basi serikali huwa inachelewesha maendeleo kwa makusudi kwenye jimbo husika kwa kuwa ni la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wameonesha ukomavu mkubwa

JANUARI 12 ya kila mwaka ni maadhimisho ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) yaliyofanyika usiku wa Januari 12, mwaka 1964; ambayo mwaka huu yanatimiza umri wa miaka 50. Kuelekea sherehe hizo...

 

9 years ago

Raia Mwema

Je, ishara ya ukomavu wa demokrasia au dalili za kansa ya siasa uchwara?

TOFAUTI kubwa ya msimu huu wa uchaguzi na misimu mingine iliyopita ni kishindo kilichosababishwa

Bashiru Ally

 

11 years ago

Mwananchi

‘Ukomavu wa kisiasa’ kuwapa wananchi #Katiba Mpya [VIDEO]

Watanzania wametakiwa kutokuwa na hofu kuhusu mchakato wa Katiba Mpya unaoendelea hivi sasa Bungeni Dodoma, kwani Katiba hiyo itapatikana.

 

5 years ago

CCM Blog

KINANA ONYESHA UKOMAVU KATIKA SIASA, AMUOMBA RADHI MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI

CCM Blog, Arusha
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana (pichani) amemuomba radhi Mwenyekiti wa CCM Rais Dk.John Magufuli kwa kauli mbalimbali alizotoa hadi Chama kulazimika kumpa adhabu hivi karibuni.

Kinana alitoa tamko la kumuomba radhi Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli, alipozungumza na Waandishi wa habari baada ya kukutanha na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa mkoa huo Zelothe Stephen na kufanya mazungumzo naye katika ofisi za CCM mkoa wa Arusha leo.

Katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani