Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KINANA ONYESHA UKOMAVU KATIKA SIASA, AMUOMBA RADHI MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI

CCM Blog, Arusha
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana (pichani) amemuomba radhi Mwenyekiti wa CCM Rais Dk.John Magufuli kwa kauli mbalimbali alizotoa hadi Chama kulazimika kumpa adhabu hivi karibuni.

Kinana alitoa tamko la kumuomba radhi Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli, alipozungumza na Waandishi wa habari baada ya kukutanha na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa mkoa huo Zelothe Stephen na kufanya mazungumzo naye katika ofisi za CCM mkoa wa Arusha leo.

Katika...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KINANA AMUOMBA RADHI RAIS.DKT.JOHN POMBE MAGUFULI


Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi, Bw.Abdulrahaman Kinana amemuomba radhi Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kwa matukio mbalimbali aliyoyafanya baada ya kuondoka katika uongozi wake.

Pamoja na hayo Kinana amewaomba radhi pia Watanzania na Wanachama wa CCM kwa vitendo alivyovifanya.

Kinana akiwa na baadhi ya viongozi wakongwe wa chama hicho walipewa adhabu baada ya mazungumzo yao ya simu kunaswa wakimteta Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa ambaye pia...

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR DKT SHEIN JIJINI DODOMA


 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM upande wa Zanzibar Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein muda mfupi kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU MWENYEKITI WA CCM,RAIS DKT SHEIN NA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE WAWASILI PEMBA LEO

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akimpokea  Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein mara baada ya kuwasili mapema leo kwenye uwanja wa Ndege wa Pemba kwa ajili ya kushiriki sherehe za maadhimisho ya miaka 38 ya CCM,ambayo Kitaifa zitaadhimishwa mjini Songea mkoani Ruvuma.Makamu Mwenyeki wa CCM,Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein  akisalimiana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, mara baada ya kuwasili mapema leo kwenye uwanja wa Ndege wa Pemba kwa ajili ya kushiriki...

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM OFISI NDOGO YA CCM MTAA WA LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho tawala mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo Februari 28, 2020  Viongozi waandamizi watano kutoka vyama vya upinzani wakitambulishwa na kupokelewa rasmi kuwa wana CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti CCM amtaka DC amwombe radhi

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Rorya mkoani Mara, Samwel Kiboye, amempa siku saba Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Elias Goloi kumwomba radhi kwa madai ya kusema kuwa anaweza kutumia ngumi na mateke kumwadhibu yeye na mbunge wa jimbo hilo kwa kuwatuhumu wanahimiza wananchi kugomea kulipa ushuru.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM inaunga mkono juhudi za Rais Magufuli -Kinana

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema chama kinaunga mkono utendaji kazi wa Rais John Magufuli, ikiwamo kuhakikisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zinasimamia ipasavyo ulipaji wa kodi.

 

5 years ago

CCM Blog

BREAKING NEWSSSSSS: MWENYEKITI WA CCM, RAIS MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUWANIA URAIS

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk. John Magufuli akipokea fomu kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally za kuomba kuwania urais kupitia chama hicho. Tukio hilo limefanyika leo asubuhi MMakao Makuu ya CCM, Jijini Dodoma

 

9 years ago

Raia Mwema

Je, ishara ya ukomavu wa demokrasia au dalili za kansa ya siasa uchwara?

TOFAUTI kubwa ya msimu huu wa uchaguzi na misimu mingine iliyopita ni kishindo kilichosababishwa

Bashiru Ally

 

5 years ago

CCM Blog

MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CHAMA, IKULU YA CHAMWINO JIJINI DODOMA, LEO, HAMASA ZATANDA UKUMBINI

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika leo Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma tarehe 10 Juni 2020. Upande wake wa kulia ni makamu Mwenyekiti wa CCM Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Makamu wa Rais Samia Sulu Hassan, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Waziri Mkuu Maliwa Kasim Majaliwa na upande wake wa Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na Makamu Mwenyekiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani