Maalim Seif ameonyesha mfano
RAIS Jakaya Kikwete wiki iliyopita alilihutubia Bunge Maalumu la Katiba na kuweka msimamo wa chama chake CCM, kutaka serikali mbili badala ya tatu zilizopendekezwa katika rasimu ya Katiba. Rasimu ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Ni Shein na Maalim Seif
10 years ago
Mtanzania09 Sep
‘Maalim Seif ni Popo’
![maalim seif sharif hamad](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/maalim-seif-sharif-hamad.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF), amemshambulia kwa maneno Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Maalim Seif Sharif Hamad, huku akimfananisha na popo.
Mbunge huyo alisema hayo baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema lengo ni kujibu mashambulizi yaliyoelezwa kwake na...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Maalim Seif amtega JK
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wanaweza kurudi bungeni iwapo Rais Jakaya Kikwete atawahakikishia kuwa...
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Maalim Seif: Msihofu
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Maalim Seif: Sawasawa
Na Waandishi Wetu, Zanzibar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimezindua kampeni za Urais Zanzibar kwa kishindo huku mgombea wake, Maalimu Seif Sharif Hamad, akiahidi ajira kwa Wanzibari wote ndani ya miaka mitano na kubadilisha uchumi wa nchi hiyo kuwa imara kama ule wa Singapore.
Akizungumza na maelfu ya wananchi wa visiwa hivyo waliojitokeza jana kwenye uwanja wa Kibanda Maiti Unguja, Maalim Seif alisema endapo atapatiwa ridhaa ya kuongeza nchi, atapigania pia mamlaka kamili ya Zanzibar ikiwa ni...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
JK akutana na Maalim Seif
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Maalim Seif: Ukawa ngangari
![maalim seif sharif hamad](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/maalim-seif-sharif-hamad-300x200.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad
Na Silvan Kiwale, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), uko palepale licha ya kujiuzulu uenyekiti kwa Profesa Ibrahim Lipumba.
Kauli hiyo aliitoa jana jioni alipokuwa akizungumza na mamia ya wanachama na wapenzi wa chama hicho waliofurika katika Ofisi za makao maku ya CUF Buguruni jijini Dar es Salaam.
Alisema pamoja katika siasa kuna...
10 years ago
Daily News07 Jun
Maalim Seif sets priorities
Daily News
CIVIC United Front (CUF) political party top leaders, yesterday at a public rally in Zanzibar prayed for free and transparent elections as the party's presidential nominee for the Isles, Maalim Seif Sharif Hamad, disclosed his priorities if he won the October polls.