Blatter ameonyesha uwajibikaji, wengine wamfuate
Mapema wiki hii, Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka Duniani (Fifa), Joseph Blatter alitangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake na kuitisha mkutano wa dharura wa uchaguzi ili kumpata rais mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Manji ameonyesha ukomavu
TIMU ya Yanga, juzi ilifungwa mabao 3-1 na mtani wake Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe iliyofanyika chini ya uratibu wa wadhamini wao, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia...
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Maalim Seif ameonyesha mfano
RAIS Jakaya Kikwete wiki iliyopita alilihutubia Bunge Maalumu la Katiba na kuweka msimamo wa chama chake CCM, kutaka serikali mbili badala ya tatu zilizopendekezwa katika rasimu ya Katiba. Rasimu ya...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Ole Sendeka: Sumaye ameonyesha udhaifu kwenda Ukawa
9 years ago
Habarileo11 Nov
OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Uwajibikaji katika Muungano TZ
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
BAVICHA wataka uwajibikaji serikalini
BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (BAVICHA) limeitaka serikali kuwajibika kwa misingi ya uzalendo dhidi ya wawekezaji nchini kwa kuwa ndio chanzo cha kuwa na wawekezaji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhwwM5as4RbjR4eGCpCDQDfQQtYvSKjmpYX6alzRlj7YDmQ*TT22OZ5378Cz3L2vlswqqGLaBSSOPwRy8mxUE9vT/mark.jpg)
UWAJIBIKAJI: WAZIRI WA UHAMIAJI UINGEREZA AJIUZULU
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Feb
Uwajibikaji, Changamoto na Uweledi wa Kamati ya PAC
Uwajibikaji, Changamoto na Uweledi wa Kamati ya PAC
Mfumo thabiti wa Uwajibikaji ni moja ya jawabu muhimu sana katika kuhakikisha Taifa linaondokana na ufisadi na masuala mengine yanayorudisha nyuma maendeleo ya Tanzania. Kazi za mwisho za Kamati ya PAC katika Bunge la Kumi zilisheheni mambo mengi muhimu katika mchakato endelevu wa ujenzi wa mfumo thabiti wa uwajibikaji nchini kwetu.
Taarifa ya Mwaka iliyojadiliwa na kupitishwa na Bunge wiki iliyopita ndio ilikuwa taarifa yetu ya mwisho...