Uwajibikaji, Changamoto na Uweledi wa Kamati ya PAC
Uwajibikaji, Changamoto na Uweledi wa Kamati ya PAC
Mfumo thabiti wa Uwajibikaji ni moja ya jawabu muhimu sana katika kuhakikisha Taifa linaondokana na ufisadi na masuala mengine yanayorudisha nyuma maendeleo ya Tanzania. Kazi za mwisho za Kamati ya PAC katika Bunge la Kumi zilisheheni mambo mengi muhimu katika mchakato endelevu wa ujenzi wa mfumo thabiti wa uwajibikaji nchini kwetu.
Taarifa ya Mwaka iliyojadiliwa na kupitishwa na Bunge wiki iliyopita ndio ilikuwa taarifa yetu ya mwisho...
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Saa 48 Kamati ya PAC zatimia leo
10 years ago
Mwananchi31 Oct
TPDC yawatunishia misuli Kamati ya PAC
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Kamati ya Bunge PAC yabaini SMZ kulinda mafisadi
10 years ago
MichuziKAMATI YA PAC YAENDELEA NA KAZI YAKE LEO JIJINI DAR
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Jan
RATIBA -KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) JANUARI 2015
KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC)
RASIMU YA RATIBA YA UKAGUZI WA MIRADI NA KUJADILI HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA SERIKALI KUU NA MASHIRIKA YA UMMA KUANZIA TAREHE 05 HADI 24 JANUARI 2015,
MKOA WA MOROGORO NA OFISI NDOGO YA BUNGE, DAR ES SALAAM
View this document on Scribd
![](http://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3460&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
GPLAMINA MWIDAU (VITI MAALUMU CUF) NDIYE MWENYEKITI MPYA WA KAMATI YA PAC
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA PAC YAPATA UGENI KUTOKA BUNGE LA SUDANI KUSINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zyoP8QCjzTs/XoiciBjkM3I/AAAAAAALmBU/V_hLiEGWtQMYv-hDQ4Y_2hnG3QM4s4JOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200403-WA0015-768x576.jpg)
UKUNI YAUNDA KAMATI KUSIMAMIA CHANGAMOTO YA UBOVU WA BARABARA
WAKAZI wa Kitongoji cha Ukuni Kata ya Dunda ,wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, wameunda Kamati Maalumu itayosimamia ukarabati wa miundombinu ya Barabara ambayo imekuwa kero kwa wananchi .
Wakiwa katika kikao cha uundwaji wa Kamati hiyo, wajumbe wamejadiliana kwa kina kuhusiana na mchakato huo, unaolenga kuondokana na hali tete ya ubovu wa miundombinu hiyo iliyopo kwenye Kitongoji hicho, ambapo Kamati hiyo inatarajia kuanza kazi mara moja.
Mwenyekiti wa Kitongoji...