TPDC yawatunishia misuli Kamati ya PAC
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeituhumu Wizara ya Nishati na Madini kwa kugoma kuwasilisha mikataba 26 ya gesi katika kamati hiyo kama ilivyoagiza siku nne zilizopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PvUq0GsWw_A/VCxj1t9g55I/AAAAAAAGnJ0/xtqRTFvVmjM/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Timu ya Wizara ya Habari yawatunishia misuli Hazina.
10 years ago
Daily News04 Nov
TPDC officials clash with PAC
Daily News
Onlookers surrounding Dar es Salaam's Parliament Sub-Office were all left in dismay and disbelief. The Parliamentary Public Accounts Committee (PAC) ordered the arrest of Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) senior officials for failure to ...
10 years ago
Michuzi03 Nov
Breaking Newwzzzzzz: Kaimu MKurugenzi WA TPDC na Mwenyekiti wake wa Bodi watupwa rumande kufuatia kushindwa kuwasilisha mikataba 26 kwa PAC.
Kikosi kazi cha Globu ya Jamii kipo kazini kuifuatilia taarifa hii,hivyo tuendelea kupitia pitia hapa jamvini kupata...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Saa 48 Kamati ya PAC zatimia leo
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Feb
Uwajibikaji, Changamoto na Uweledi wa Kamati ya PAC
Uwajibikaji, Changamoto na Uweledi wa Kamati ya PAC
Mfumo thabiti wa Uwajibikaji ni moja ya jawabu muhimu sana katika kuhakikisha Taifa linaondokana na ufisadi na masuala mengine yanayorudisha nyuma maendeleo ya Tanzania. Kazi za mwisho za Kamati ya PAC katika Bunge la Kumi zilisheheni mambo mengi muhimu katika mchakato endelevu wa ujenzi wa mfumo thabiti wa uwajibikaji nchini kwetu.
Taarifa ya Mwaka iliyojadiliwa na kupitishwa na Bunge wiki iliyopita ndio ilikuwa taarifa yetu ya mwisho...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Kamati ya Zitto yawapeleka polisi vigogo TPDC
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Kamati ya Bunge PAC yabaini SMZ kulinda mafisadi