Timu ya Wizara ya Habari yawatunishia misuli Hazina.
![](http://3.bp.blogspot.com/-PvUq0GsWw_A/VCxj1t9g55I/AAAAAAAGnJ0/xtqRTFvVmjM/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO Mji wa Morogoro na viunga vyake imepambwa kwa shamra shamra za mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yanayoendelea katika viwanja mbalimbali mjini hapo. Kwa kipindi cha wiki mbili, watumishi wamekuwa wakionesha vipaji vyao katika michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, kuvuta kamba, riadha, mbio za baiskeli, mpira wa pete na michezo ya ndani. Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ambayo ndio Wizara yenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Oct
TPDC yawatunishia misuli Kamati ya PAC
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yatinga hatua ya timu 16 SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiomba dua kabla ya mchezo wa hatua ya mtoano katika mashindano ya SHIMIWI uwanja wa Chuo Kikuu chaa Kilimo (SUA).
(Na Eleuteri Mangi – MAELEZO)
Timu ya mpira wa miguu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeibuka kidedea kwa kuifunga timu ya Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mikwaju ya penati 4 – 3.
Ushindi huo wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...
9 years ago
Michuzitimu ya Wizara ya Habari yatembelea shule ya msingi Mtendeni jijini Dar es Salaam
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
AFCON-Timu za kundi A zapasha misuli
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aVL1mPhjh-I/VCVJa5m60pI/AAAAAAAGl6s/bzC0ELLd-8k/s1600/TF1.jpg)
TIMU YA MICHEZO YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO YA HASWA KUWA MFANO KATIKA MASHINDANO YA SHIMIWI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s72-c/TF3.jpg)
Timu ya Michezo ya Wizara ya Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo ya haswa kuwa mfano katika mashindano ya SHIMIWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s1600/TF3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fimSY98DOpk/VCVJfbNVZRI/AAAAAAAGl68/ylNfyX7xV8w/s1600/TF4a.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli
11 years ago
Michuzi14 Feb
Redio nyingi hazina habari za usawa wa kijinsia - Umoja wa Mataifa
![DSC_0010](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0010.jpg)
Mshehereshaji Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania( MCT), Bw. Allan Lawa, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani Dodoma. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na kufadhiliwa na UNESCO.
Na Mwandishi Wetu, Moblog Tanzania, Dodoma UMOJA wa Mataifa umesema kwamba bado redio nyingi duniani ziko nyuma katika kuhabarisha habari za usawa wa jinsia na sauti za wanawake na wasichana hazipati nafasi...