Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Redio nyingi hazina habari za usawa wa kijinsia - Umoja wa Mataifa

DSC_0010
Mshehereshaji Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania( MCT), Bw. Allan Lawa, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani Dodoma. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na kufadhiliwa na UNESCO.
Na Mwandishi Wetu, Moblog Tanzania, Dodoma UMOJA wa Mataifa umesema kwamba bado redio nyingi duniani ziko nyuma katika kuhabarisha habari za usawa wa jinsia na sauti za wanawake na wasichana hazipati nafasi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UMOJA WA MATAIFA‏: REDIO NYINGI HAZINA HABARI ZA USAWA WA KIJINSIA

Mshehereshaji Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania( MCT), Bw. Allan Lawa, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani Dodoma. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na kufadhiliwa na UNESCO. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi akisalimiana na Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Kaimu Katibu Mkuu azungumza na waandishi wa Habari kuhusu Wiki ya Umoja wa Mataifa

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Simba Yahaya (wa pili kutoka kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa. Pamoja kwenye picha ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez (wa kwanza kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Usawa wa Kijinsia

Mjadala huu uliangazia usawa wa kijinsia katika mfumo wa serikali za ugatuzi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pengo la usawa wa kijinsia lapungua

Pengo lililopo kati ya wanaume na wanawake linaendelea kuzibika katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni,

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaya nyingi Dar hazina vyoo

JIJI la Dar es Salaam limeonekana kinara kwa kaya za wakazi wake kutokuwa na huduma ya choo. Taarifa ya msingi ya kidemografia, kijamii na kiuchumi imeonyesha kuwa jiji hilo linashika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba lizingatie usawa wa kijinsia

BUNGE Maalumu la Katiba, wiki inayoanza kesho litaingia katika hatua nyingine muhimu ya kupokea taarifa ya rasimu ya pili ya Katiba kutoka kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba  na baadaye...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hoja:Je usawa wa kijinsia unaweza kufikiwa?

Je kuwa msichana au mwanamke kunakuzuia uhuru wa kufanya mambo mengi unayoyataka?

 

11 years ago

Mwananchi

Usawa wa kijinsia waibuka tena semina ya Bunge

Suala la usawa wa jinsia limeibuka tena katika semina ya Bunge la Katiba baada ya mjumbe Suzan Lyimo kutaka Mwenyekiti atakayechaguliwa kuhakikisha kuwa kunakuwa na idadi sawa ya wachangiaji kati ya wanaume na wanawake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani