Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaya nyingi Dar hazina vyoo

JIJI la Dar es Salaam limeonekana kinara kwa kaya za wakazi wake kutokuwa na huduma ya choo. Taarifa ya msingi ya kidemografia, kijamii na kiuchumi imeonyesha kuwa jiji hilo linashika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Zaidi ya nyumba 620 Wete Zanzibar hazina vyoo

Zaidi ya nyumba 620 za mji wa Wete visiwani Zanzibar hazina vyoo ama mfumo rasmi wa kutoa majitaka jambo ambalo linachangia vinyesi kuzagaa ovyo na kusababisha maradhi ya kipindupindu.

Hadi sasa wagonjwa 18 wanaendelea na matibabu katika kambi ya kipindupindu ambapo mtu mmoja amefariki dunia kutokana na ugonjwa huo.

Katika zoezi la usafi kwenye Mtaa wa Kizimbani Wete eneo ambalo limetoa mgonjwa wa kwanza wa kipindupindu msimu huu,  Katibu wa baraza la mji wa Wete Mgeni Othuman Juma...

 

11 years ago

Michuzi

Redio nyingi hazina habari za usawa wa kijinsia - Umoja wa Mataifa

DSC_0010
Mshehereshaji Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania( MCT), Bw. Allan Lawa, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani Dodoma. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na kufadhiliwa na UNESCO.
Na Mwandishi Wetu, Moblog Tanzania, Dodoma UMOJA wa Mataifa umesema kwamba bado redio nyingi duniani ziko nyuma katika kuhabarisha habari za usawa wa jinsia na sauti za wanawake na wasichana hazipati nafasi...

 

11 years ago

GPL

UMOJA WA MATAIFA‏: REDIO NYINGI HAZINA HABARI ZA USAWA WA KIJINSIA

Mshehereshaji Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania( MCT), Bw. Allan Lawa, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani Dodoma. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na kufadhiliwa na UNESCO. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi akisalimiana na Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka… ...

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA VYOO MANISPAA YA SHINYANGA..AKUTANA NA VYOO VYA AJABU...KIMO CHA KULENGA KWENYE BOMBA



Hiki choo cha ajabu kiko Shinyanga maelezo yapo chini.Leo Jumatatu Novemba 30,2015 ambapo mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ameanza kufanya ziara kutembelea kata za manispaa hiyo ili kuangalia hali ya usafi wa mazingira kubwa zaidi ni kukagua vyoo vya wananchi ilimkukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.Mkuu huyo wa wilaya ya Shinyanga alikuwa ameambatana na mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Lewis Kalinjuna,mwanasheria wa manispaa hiyo Simon Jilanga,afisa afya wa manispaa hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kunani vyoo kumbi za burudani Dar ?

SEHEMU inayoitwa choo ni sehemu muhimu kwa maisha ya kila siku ya binadamu na ndiyo maana kuna usemi kuwa, nyumba bila choo haijakamilika. Lakini, maana halisi ya choo ni zaidi...

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA

 Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF, Eugen Mikongoti akifungua kikao kilichowashirikisha wenyeviti wa bodi na makatibu wa Vituo Vya Afya, Zahanati na Hospitali wa Manispaa ya Temeke juu ya mpango wa bima ya afya kwa kayo iliyofanyika leo jijni Dar es Salaam. Meneja wa Mkoa wa Temeke wa NHIF, Costantino Makala akitoa maada katika kikao hicho leo latika ukumbi wa Temeke jijini Dra es Salaam.wa katikati ni Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF,Eugen Mikongoti Kushoto ni Mganga...

 

9 years ago

Mwananchi

Vyoo vya ‘passport size’ dili Dar es Salaam

Kwa mtu anayefika Dar es Salaam mara ya kwanza, moja ya vitu vinavyoweza kumshangaza na pengine kumchukua muda mrefu kuvizoea ni aina ya vyoo vinavyotumika maeneo mengi ya uswahilini maarufu kama ‘passport size’.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni

SAM_0215

Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.

SAM_0229

Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani