Zaidi ya nyumba 620 Wete Zanzibar hazina vyoo
Zaidi ya nyumba 620 za mji wa Wete visiwani Zanzibar hazina vyoo ama mfumo rasmi wa kutoa majitaka jambo ambalo linachangia vinyesi kuzagaa ovyo na kusababisha maradhi ya kipindupindu.
Hadi sasa wagonjwa 18 wanaendelea na matibabu katika kambi ya kipindupindu ambapo mtu mmoja amefariki dunia kutokana na ugonjwa huo.
Katika zoezi la usafi kwenye Mtaa wa Kizimbani Wete eneo ambalo limetoa mgonjwa wa kwanza wa kipindupindu msimu huu, Katibu wa baraza la mji wa Wete Mgeni Othuman Juma...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Kaya nyingi Dar hazina vyoo
JIJI la Dar es Salaam limeonekana kinara kwa kaya za wakazi wake kutokuwa na huduma ya choo. Taarifa ya msingi ya kidemografia, kijamii na kiuchumi imeonyesha kuwa jiji hilo linashika...
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Shule Wilaya ya Handeni hazina nyumba za walimu
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Milioni 59/- zatumika kujenga nyumba , vyoo Shule ya Munguli
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile, katika picha.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
HALMASHAURI ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida,imetumia zaidi ya shilingi 59 milioni kugharamia ujenzi wa nyumba ya mtumishi,vyoo na ununuzi wa vitanda na magodoro ya shule ya msingi ya bweni, kijiji cha Munguli ambayo ni maalum kwa jamii ya Wahadzabe tu.
Hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo,Bravo Lyapambile,wakati...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Watu zaidi ya bilioni 2 hawana vyoo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ts_7qUDMRtg/VZOYH0iBxMI/AAAAAAAHmI0/JcvassStylg/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AFUTARISHA WANANCHI WETE, PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ts_7qUDMRtg/VZOYH0iBxMI/AAAAAAAHmI0/JcvassStylg/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FEjFIu-NfSY/VZOYH4tP5QI/AAAAAAAHmI8/Jq7Pb0Hj1ps/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
9 years ago
MichuziMkutano wa Kampeni Mgombea wa Urais wa Zanzibar Dk Shein Gando Wete Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akiwatambulisha Wagombea Ubunge wa CCM Wilaya ya Wete Pemba wakati wa Mkutano wake wa Kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira Gando Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akiwatambulisha Wagombea Uwakilishi wa CCM Wilaya ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QAml1a2KFtY/U1Y7lneU4RI/AAAAAAAFcSk/96yZd-tRBjs/s72-c/267.jpg)
Vyoo vipya 18 vya Skuli ya Kijitoupele Zanzibar vyafunguliwa rasmi
![](http://4.bp.blogspot.com/-QAml1a2KFtY/U1Y7lneU4RI/AAAAAAAFcSk/96yZd-tRBjs/s1600/267.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kdiWZ-Mu5TE/U1Y711LQJQI/AAAAAAAFcSw/qsIf8r-YDBw/s1600/301.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dJs31Vs6EB4/U1Y71wx6rzI/AAAAAAAFcSs/6cz5rquTNcU/s1600/313.jpg)
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA VYOO MANISPAA YA SHINYANGA..AKUTANA NA VYOO VYA AJABU...KIMO CHA KULENGA KWENYE BOMBA
Hiki choo cha ajabu kiko Shinyanga maelezo yapo chini.Leo Jumatatu Novemba 30,2015 ambapo mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ameanza kufanya ziara kutembelea kata za manispaa hiyo ili kuangalia hali ya usafi wa mazingira kubwa zaidi ni kukagua vyoo vya wananchi ilimkukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.Mkuu huyo wa wilaya ya Shinyanga alikuwa ameambatana na mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Lewis Kalinjuna,mwanasheria wa manispaa hiyo Simon Jilanga,afisa afya wa manispaa hiyo...