Shule Wilaya ya Handeni hazina nyumba za walimu
Imeelezwa kuwa zaidi ya asilimia 50 ya shule katika Wilaya ya Handeni mkaoni Tanga, zina upungufu wa nyumba za kuishi walimu hasa maeneo ya nje ya wilaya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Aug
Shule zote Songosongo hazina walimu wa kike
TATIZO la usafiri linalowakabili wananchi wa Kisiwa cha Songosongo mkoani Lindi limesababisha shule ya msingi na sekondari katika kisiwa hicho kukosa walimu wa kike.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cGVCcnrr0ag/Ve68GlVPTlI/AAAAAAAH3SE/MAr1Xmy8xHU/s72-c/_MG_3138.jpg)
MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO LEO MCHANA WILAYA YA MUHEZA AKITOKEA WILAYA YA HANDENI MKOANI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-cGVCcnrr0ag/Ve68GlVPTlI/AAAAAAAH3SE/MAr1Xmy8xHU/s640/_MG_3138.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ivQRUbeccjw/Ve68HA24R2I/AAAAAAAH3SI/KyVDpOvNyfs/s640/_MG_3165.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7q0jt56p8ZU/Ve68J7SNMsI/AAAAAAAH3SU/uTDrcEwzdC8/s640/_MG_3187.jpg)
9 years ago
StarTV28 Dec
Zaidi ya nyumba 620 Wete Zanzibar hazina vyoo
Zaidi ya nyumba 620 za mji wa Wete visiwani Zanzibar hazina vyoo ama mfumo rasmi wa kutoa majitaka jambo ambalo linachangia vinyesi kuzagaa ovyo na kusababisha maradhi ya kipindupindu.
Hadi sasa wagonjwa 18 wanaendelea na matibabu katika kambi ya kipindupindu ambapo mtu mmoja amefariki dunia kutokana na ugonjwa huo.
Katika zoezi la usafi kwenye Mtaa wa Kizimbani Wete eneo ambalo limetoa mgonjwa wa kwanza wa kipindupindu msimu huu, Katibu wa baraza la mji wa Wete Mgeni Othuman Juma...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8UK7YZp-z7E/U3ztXMnEXVI/AAAAAAAFkTs/ScrJ28aKd9g/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WILAYA YA HANDENI NA MAENDELEO YA KILIMO NA UFUGAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8UK7YZp-z7E/U3ztXMnEXVI/AAAAAAAFkTs/ScrJ28aKd9g/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RPlQLKdhqfg/U3ztYJRPqrI/AAAAAAAFkUI/Lz3bfFTjO4k/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-J1KuMNZ4gd8/U5dwf2_IUWI/AAAAAAAFpo0/wfMo_dYntrM/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 5,000 na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokelo
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Nyumba za walimu zatengewa bil. 27/-
SERIKALI imetenga sh. bilioni 27 kwa ajili ya kujenga nyumba za walimu lengo likiwa ni kuboresha mazingira wanayoishi walimu. Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, alieleza...
11 years ago
Habarileo30 Mar
Mil.500/- kujenga nyumba za walimu
SERIKALI imetenga Sh milioni 500 kwa halmashauri 41 nchini kwa ajili ya ujenzi wa nyumba bora za walimu. Rais Jakaya Kikwete aliwaambia wananchi wa Tanga, juzi wakati akihutubia Mkutano wa hadhara katika barabara ya Karume.
10 years ago
Habarileo05 Jun
Nyumba za walimu zajengwa kwa bilioni 14/-
SERIKALI imetoa kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na Sekondari (MMES) Sh bilioni 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu nchini kati ya mwaka 2009 hadi mwaka 2013.