Shule zote Songosongo hazina walimu wa kike
TATIZO la usafiri linalowakabili wananchi wa Kisiwa cha Songosongo mkoani Lindi limesababisha shule ya msingi na sekondari katika kisiwa hicho kukosa walimu wa kike.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Shule Wilaya ya Handeni hazina nyumba za walimu
Imeelezwa kuwa zaidi ya asilimia 50 ya shule katika Wilaya ya Handeni mkaoni Tanga, zina upungufu wa nyumba za kuishi walimu hasa maeneo ya nje ya wilaya.
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ebola:Shule zote zafungwa Liberia
Rais wa Liberia ametangaza kufungwa kwa shule zote katika jitihada za kuzuia kuenea kwa Ebola.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hFzvJZdbE6U/VZOfzFD8xVI/AAAAAAAAgZo/eKB3F3WVVzc/s72-c/4.png)
Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFzvJZdbE6U/VZOfzFD8xVI/AAAAAAAAgZo/eKB3F3WVVzc/s640/4.png)
SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na kufikishwa katika vyombo vya dola.
Mirumbe alitoa agizo hilo jana ofisini kwake katika kikao ambacho...
5 years ago
MichuziSHULE ZOTE NA VYUO KUENDELEA KUFUNGWA – MAJALIWA
==== ===== ====
*Sherehe za Muungano, Mei Mosi zaahirishwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule za awali, msingi, sekondari na vyuo vyote vya elimu ya kati na vya...
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Shule zote Los Angeles zafungwa ghafla
Shule zote za uma katika jimbo Los Angeles Marekani zimefungwa mara moja kufuatia tishio la usalama.
10 years ago
Habarileo26 Jan
Mwinyi: Pelekeni watoto wa kike shule
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ameitaka jamii ya kifugaji na waokota matunda kote nchini, kufanya mapinduzi makubwa ya elimu kwa mtoto wa kike wa jamii hiyo na kuondokana na mila potofu za kuwazuia watoto hao kwenda shule.
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Rwanda imefunga shule zote kudhibiti virusi
Rwanda imefunga shule zote pamoja na maeneo ya kuabudu kuanzia leo baada ya kuthibitisha kisa cha kwanza cha corona
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Rais Magufuli atangaza kufungua shule zote Juni, 29
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametangaza shule zote zilizokuwa zimefungwa na shughuli zote zilizokuwa zimezuiwa kwa ajili ya kudhibiti kasi ya maambukizi ya virusi vya corona zitafunguliwa Juni, 29.
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Tanzania yatangaza kufunga shule zote kwa siku 30
Tanzania yatangaza kufunga shule zote kuanzia shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania