Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFzvJZdbE6U/VZOfzFD8xVI/AAAAAAAAgZo/eKB3F3WVVzc/s72-c/4.png)
SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na kufikishwa katika vyombo vya dola.
Mirumbe alitoa agizo hilo jana ofisini kwake katika kikao ambacho...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-y77kkEaMdpc/VP8NhCAoN7I/AAAAAAAHJXA/6gSdeWqMD6U/s72-c/kaseja.jpg)
Sakata la Kaseja na Yanga lachukua sura mpya
![](http://2.bp.blogspot.com/-y77kkEaMdpc/VP8NhCAoN7I/AAAAAAAHJXA/6gSdeWqMD6U/s1600/kaseja.jpg)
Sakata la mlinda mlango Juma Kaseja na waajiri wake Yanga limechukua sura mpya baada ya kutakiwa kumalizana nje ya mahakama.
Kesi hiyo ambayo iliendelea leo katika Mahakama ya Kazi baada ya Februari 12 kuahirishwa kutokana na wakili anayemsimia mlinda mlango huyo Samson Mbamba kuunguliwa ofisi yake ambapo nyaraka mbali mbali zikiwemo za Kaseja kuungua na kuomba kupewa upya nyaraka nyingine na kesi hiyo kuendelea leo.
Kesi hiyo ambayo inasuluhishwa na Muheshimiwa...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
MADAI: Sakata la Rais CBE lachukua sura mpya
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Sura mpya ya sakata la Uda
10 years ago
Mtanzania18 Apr
TPA yaonya shughuli zao kuingiliwa
Na Faraja Masinde, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema ni kinyume cha sheria namba 17 ya Bandari ya mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila kibali chao.
Kauli hiyo imekuja huku kukiwa na taarifa za kupotosha kuwa shughuli za TPA katika eneo la Mwambani zitafanywa na Kampuni ya Mwambani Port and Railway Corridor Company (MWAPORC).
Taarifa hizo zilihusisha mradi huo na shughuli za MWAPORC kuwa TPA...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/AdRS0-s5HGM/default.jpg)
9 years ago
Bongo525 Aug
Picha: Davido a-share picha mpya za mtoto wake wa kike zinazomuonesha vizuri sura
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-K50jvlvIKg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/86mnqHV-Afc/default.jpg)