TPA yaonya shughuli zao kuingiliwa
Na Faraja Masinde, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema ni kinyume cha sheria namba 17 ya Bandari ya mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila kibali chao.
Kauli hiyo imekuja huku kukiwa na taarifa za kupotosha kuwa shughuli za TPA katika eneo la Mwambani zitafanywa na Kampuni ya Mwambani Port and Railway Corridor Company (MWAPORC).
Taarifa hizo zilihusisha mradi huo na shughuli za MWAPORC kuwa TPA...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hFzvJZdbE6U/VZOfzFD8xVI/AAAAAAAAgZo/eKB3F3WVVzc/s72-c/4.png)
Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFzvJZdbE6U/VZOfzFD8xVI/AAAAAAAAgZo/eKB3F3WVVzc/s640/4.png)
SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na kufikishwa katika vyombo vya dola.
Mirumbe alitoa agizo hilo jana ofisini kwake katika kikao ambacho...
10 years ago
Habarileo17 Apr
TPA yaonya ujenzi wa bandari ya Mwambani
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeonya kwamba ni kinyume cha Sheria Namba 17 ya Bandari ya Mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi, kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila ya kibali chake.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HZOfVghWnbg/VE28t0hfGAI/AAAAAAACtlk/IljGYGklnYY/s72-c/unnamed.jpg)
WAWEKEZAJI WA KIGENI WATUPIWE JICHO NA SHUGHULI ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HZOfVghWnbg/VE28t0hfGAI/AAAAAAACtlk/IljGYGklnYY/s1600/unnamed.jpg)
ah ! "MGENI WA MUNGU HUYU" mwache ajitafutie riziki !
Baadhi ya wawekezaji wa kigeni au pengine watumishi raia wa kigeni wamekuwa wakivunja sheria za nchi kwa kujiingiza au kufanya shughuli zisizo katika mikataba yao ya kazi,au nje ya vibali vyao vya kufanyakazi hapa nchini Tanzania,lakini uvunjwaji wa sheria za nchi unaofanywa na wageni hawa unasaidiwa na sisi wenyewe kwa kuzingatia zile mila zetu na misemo ya ah ! "MGENI...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wu_jzvmv_pc/VUot_w-d03I/AAAAAAAAAYY/ofX1VHDlt0c/s72-c/DSC_0671.jpg)
WAFUGAJI WATAKIWA KUFANYA SHUGHULI ZAO KWA KUFUATA SHERIA-CCWT
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s72-c/6.jpg)
KINANA ATAKA WAZAZI KUCHAGUA WATU WENYE SHUGHULI ZAO KUWA WAJUMBE WA KAMATI ZA SHULE
![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HaCjpVafzr8/VB9PJtzQwTI/AAAAAAAARC4/9agjW_GxaJ0/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DKj7VVYTGt4/VB9PMotG8SI/AAAAAAAARDA/jwob49EDL0Y/s1600/13.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
WASIMAMIZI WA UCHAGUZI SINGIDA: Watakiwa kusimamia shughuli zao kwa kuzingatia Haki,Uadilifu na kutopendela chama!
Mkuu wa wilaya ya Singida,Bwana Saidi Amanzi(aliyesimama) akifungua semina ya siku mbili kwa wasimamizi 42 kutoka jimbo la Singida kaskazini.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na. Jumbe Ismailly
[SINGIDA] MKUU wa Wilaya ya Singida,Saidi Amanzi amewaagiza wasimamizi wa uchaguzi wa wilaya hiyo kuhakikisha wanakwenda kusimamia shughuli za uchaguzi kwa kuzingatia haki,uadilifu,bila upendeleo na kwa kutoegemea upande wowote.
Mkuu wa wilaya huyo alitoa agizo hilo kwenye ufunguzi wa semina ya siku...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sA3u8b-h2eM/VBdI_nB-l5I/AAAAAAACrA4/BOK1KYazvMs/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA TABORA WAKIRI WAZI KUWA MASOKO NDIO CHANGAMOTO YAO KUBWA KATIKA SHUGHULI ZAO ZA UJASILIAMALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-sA3u8b-h2eM/VBdI_nB-l5I/AAAAAAACrA4/BOK1KYazvMs/s1600/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-sA3u8b-h2eM/VBdI_nB-l5I/AAAAAAACrA4/BOK1KYazvMs/s1600/1.jpg)
WAKAZI WA TABORA WAKIRI WAZI KUWA MASOKO NDIO CHANGAMOTO YAO KUBWA KATIKA SHUGHULI ZAO ZA UJASILIAMALI