Mwinyi: Pelekeni watoto wa kike shule
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ameitaka jamii ya kifugaji na waokota matunda kote nchini, kufanya mapinduzi makubwa ya elimu kwa mtoto wa kike wa jamii hiyo na kuondokana na mila potofu za kuwazuia watoto hao kwenda shule.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
‘Pelekeni watoto shule za seminari’
WAZAZI na walezi mkoani Mtwara, wametakiwa kuwapeleka watoto wao kwenye shule za seminari ili wapate elimu bora na maadili mema yatakayowasaidia maishani, kwa vile siku hizi wototo wengi hawana maadili....
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
‘Wazazi pelekeni watoto vyuo vya ufundi’
WAZAZI na walezi wametakiwa kuwapeleka watoto wao waliohitimu kidato cha nne katika vyuo mbalimbali vikiwemo vya ufundi na utalii, ili kuwaongezea utaalamu zaidi. Kauli hiyo ilitolewa jana na Diwani wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oibWxPrRM7s/VYvizWvbRJI/AAAAAAAHj5M/XmTVcITNf4Q/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AKABIDHI MSAADA NA KUTOA ELIMU YA AFYA KWA WATOTO WA KIKE WA SHULE YA MSINGI MSIMBAZI MSETO
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Habarileo24 Aug
Shule zote Songosongo hazina walimu wa kike
TATIZO la usafiri linalowakabili wananchi wa Kisiwa cha Songosongo mkoani Lindi limesababisha shule ya msingi na sekondari katika kisiwa hicho kukosa walimu wa kike.
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Watoto wa kike wanahitaji kusikilizwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55I4H3ThZufk6mWGSBkNVRVTeZ-pD1rMYsPHfF8y9JXHmGxxl2F6MgCNkiGljdAYRfcLNUrsBgUP-BtNayC5di6C/WATOTO.jpg?width=650)
WATOTO WAWILI WA KIKE WABAKWA
11 years ago
Habarileo25 Apr
Hofu ya wizi wa watoto wa kike
HOFU kubwa imetanda Manispaa ya Sumbawanga kwa wazazi wenye watoto wadogo wa kike, kutokana na taarifa zilizozagaa za kuwepo kwa watu wanaodaiwa kuiba watoto wadogo wa kike na kuwauza kusikojulikana.