WATOTO WAWILI WA KIKE WABAKWA
![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55I4H3ThZufk6mWGSBkNVRVTeZ-pD1rMYsPHfF8y9JXHmGxxl2F6MgCNkiGljdAYRfcLNUrsBgUP-BtNayC5di6C/WATOTO.jpg?width=650)
Stori:Â Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani WIMBI la ubakaji wa watoto wadogo limeendelea, baada ya watu wawili kuripotiwa kuwabaka wasichana wadogo wa kike katika matukio mawili tofauti wiki iliyopita. Huko Mbagala Zakhem, jijini Dar, kijana aliyefahamika kwa jina moja la Robert alimbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa baada ya kumnywesha bia na baadaye kumchoma kwa kisu chenye moto katika harakati za kulazimisha kitendo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Sep
Watoto wabakwa, walawitiwa, watobolewa macho
VITENDO vya ukatili kwa watoto ni changamoto kubwa katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa kutokana na kuripotiwa watoto 140 waliobakwa, kutobolewa macho, kulawitiwa, kutelekezwa na wengine kupoteza maisha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdbe1A3Hr-GKrY5XEOz1-ZzljvSm8hqkPS3aXciCF4dJgZ7j6HqSB-NP3hBQlvh6AXyX*AxIXVvKjAkWFvlwbkvO/back7.jpg)
WATOTO WATATU WABAKWA KWA ZAMU!
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Watoto wenye miaka mitatu na minne wabakwa Somalia
11 years ago
Michuzi26 Apr
MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Watoto wa kike wanahitaji kusikilizwa
11 years ago
Habarileo25 Apr
Hofu ya wizi wa watoto wa kike
HOFU kubwa imetanda Manispaa ya Sumbawanga kwa wazazi wenye watoto wadogo wa kike, kutokana na taarifa zilizozagaa za kuwepo kwa watu wanaodaiwa kuiba watoto wadogo wa kike na kuwauza kusikojulikana.
10 years ago
Habarileo26 Jan
Mwinyi: Pelekeni watoto wa kike shule
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ameitaka jamii ya kifugaji na waokota matunda kote nchini, kufanya mapinduzi makubwa ya elimu kwa mtoto wa kike wa jamii hiyo na kuondokana na mila potofu za kuwazuia watoto hao kwenda shule.
11 years ago
Mwananchi06 May
Jamii yatakiwa kusaidia watoto wa kike Mwanza
9 years ago
StarTV03 Dec
Wazazi, walezi waaswa kuwasomesha watoto Wa Kike Kigoma
Wazazi na walezi nchini wamekumbushwa umuhimu wa kumuwezesha mtoto wa kike kupata elimu sawa na wa kiume jambo litakalosaidia kundi hilo kutumia fursa zinazoendela kujitokeza kujiletea maendeleo yao binafsi, familia na Taifa kwa ujumla.
Aidha kasi ya sasa ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi yanalifanya suala la elimu kuwa jambo linalohitajika zaidi kupewa kipaumbele kwa ustawi wa Taifa lolote duniani.
Hayo yamebaniishwa katika mahafari ya kwanza ya kidaoto cha nne kwa shule ya sekondari...