Watoto wenye miaka mitatu na minne wabakwa Somalia
Binamu wawili walivamiwa na wabakaji wakati wakirejea kutoka shule na sasa wanahitaji kufanyiwa upasuaji mkubwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ifbrCGVTqo/XsPVLFx6FJI/AAAAAAALqxo/IrHiuHyd6AAnQCzuxj5HEVbt3Yga-DtRACLcBGAsYHQ/s72-c/3a36b112-8522-40dc-91cb-d1d35c49fcc1.jpg)
KORTI YAMUHUKUMU RAIA WA SOMALIA KWENDA JELA MIAKA MITATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-1ifbrCGVTqo/XsPVLFx6FJI/AAAAAAALqxo/IrHiuHyd6AAnQCzuxj5HEVbt3Yga-DtRACLcBGAsYHQ/s400/3a36b112-8522-40dc-91cb-d1d35c49fcc1.jpg)
Hukumu hiyo imetolewa jana Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya mshtakiwa huyo kukiri shtaka lake na hivyo kutiwa hatiani.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Simba amesema amezingatia maombi ya mshtakiwa kuwa anategemewa na familia na hivyo, mahakama imemuhukumu kulipa faini ya Sh. Milioni moja...
11 years ago
Mwananchi30 Jul
MAUAJI: Watoto wadaiwa kumnyonga mwenzao wa miaka mitatu
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BFE_pHrSCeY/XplS4gxrsWI/AAAAAAAAyIo/foDoAoe2WMMhSUK6Xnwbo3_PkBQykuyuQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-20-768x433.jpg)
KATAVI: UBAKAJI WATOTO WA CHINI YA MWAKA HADI MIAKA MINNE UNAHUSISHWA NA IMANI ZA KISHIRIKINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFE_pHrSCeY/XplS4gxrsWI/AAAAAAAAyIo/foDoAoe2WMMhSUK6Xnwbo3_PkBQykuyuQCLcBGAsYHQ/s400/2-20-768x433.jpg)
Akizungumzia matukio hayo Afande Clara Ndamukyana wa kitengo cha Dawati la Jinsia mkoa wa Katavi amesema hali hiyo inasababishwa na waganga wa jadi wanaowadanganya wateja wao
“Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa wanasema waganga waliwaeleza kuwa wakipata mabinti ambao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55I4H3ThZufk6mWGSBkNVRVTeZ-pD1rMYsPHfF8y9JXHmGxxl2F6MgCNkiGljdAYRfcLNUrsBgUP-BtNayC5di6C/WATOTO.jpg?width=650)
WATOTO WAWILI WA KIKE WABAKWA
10 years ago
Habarileo05 Sep
Watoto wabakwa, walawitiwa, watobolewa macho
VITENDO vya ukatili kwa watoto ni changamoto kubwa katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa kutokana na kuripotiwa watoto 140 waliobakwa, kutobolewa macho, kulawitiwa, kutelekezwa na wengine kupoteza maisha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdbe1A3Hr-GKrY5XEOz1-ZzljvSm8hqkPS3aXciCF4dJgZ7j6HqSB-NP3hBQlvh6AXyX*AxIXVvKjAkWFvlwbkvO/back7.jpg)
WATOTO WATATU WABAKWA KWA ZAMU!
9 years ago
StarTV29 Nov
Watoto 9,000 wenye umri zaidi ya miaka 11 warejeshwa shule kupitia Mradi Wa Tasaf
Wanawake wa Wilaya ya Chato wameamua kubadilika baada ya kuwezeshwa na Mradi wa TASAF kwa kuwarudisha watoto 9,000 wenye zaidi ya miaka 11 katika shule sitini ambao walikuwa hawasomi na wengine kuacha shule kutokana na umbali na kukosa uwezo wa kuwanunulia vifaa mbalimbali vya shule.
Pamoja na kuwaanzisha shule sitiri bado baadhi ya wanawake wamekuwa wakinyang’anywa fedha wanazopatiwa na waume zao na kuwafanya baadhi yao kushindwa kutimiza lengo la kuhakikisha watoto wanasoma na kupelekwa...
10 years ago
MichuziWATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO KUSAJILIWA NA KUPEWA VYETI BURE MKOANI MWANZA
Mkuu wa wilaya hiyo akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Magesa Stanslaus Mulongo kama Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi katika...
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Wananchi watakiwa kujitokeza kwenye kambi ya kupima Afya bila malipo kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5
Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni mwakilishi wa shule ya Kibugumu, Mwalimu Mzamili Ally.
Na Andrew Chale modewji...