Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wabakwa, walawitiwa, watobolewa macho

VITENDO vya ukatili kwa watoto ni changamoto kubwa katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa kutokana na kuripotiwa watoto 140 waliobakwa, kutobolewa macho, kulawitiwa, kutelekezwa na wengine kupoteza maisha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto 800 walawitiwa Tanzania

JUMLA ya watoto 863, wanaripotiwa kufanyiwa vitendo vya ulawiti huku wanaowafanyia hivyo wakiwa ni ndugu zao wa karibu. Pia watoto 250 wametupwa na kutelekezwa huku 142 wakiwa wametekwa na 10...

 

11 years ago

GPL

WATOTO WAWILI WA KIKE WABAKWA

Stori:  Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
WIMBI la ubakaji wa watoto wadogo limeendelea, baada ya watu wawili kuripotiwa kuwabaka wasichana wadogo wa kike katika matukio mawili tofauti wiki iliyopita. Huko Mbagala Zakhem, jijini Dar, kijana aliyefahamika kwa jina moja la Robert alimbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa baada ya kumnywesha bia na baadaye kumchoma kwa kisu chenye moto katika harakati za kulazimisha kitendo...

 

10 years ago

GPL

WATOTO WATATU WABAKWA KWA ZAMU!

Stori:Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Inaumiza kusikia! Watoto watatu ambao ni majirani wamejikuta wakiingia kwenye kadhia ya kubakwa kwa zamu na watoto wenzao ambapo mmoja anadaiwa kuwa na umri wa miaka 17 huku mwingine akiwa na umri wa miaka 14 ambaye pia ni denti wa darasa la nne. Watoto watatu wadogo waliobakwa kwa zamu na watoto wenzao. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Mbagala-Mianzini...

 

5 years ago

BBCSwahili

Watoto wenye miaka mitatu na minne wabakwa Somalia

Binamu wawili walivamiwa na wabakaji wakati wakirejea kutoka shule na sasa wanahitaji kufanyiwa upasuaji mkubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Familia ya Watoto 9 na ulemavu wa macho

Amini usiamini ,Familia moja nchini Kenya inajumla ya watoto 9 wenye ulemavu wa macho

 

10 years ago

Michuzi

ZITTO ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WALEMAVU WA NGOZI, MACHO NA MASIKIO SHINYANGA

Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akizungumza na mtoto mwele ulemavu wa ngozi kwenye kituo cha kuwahifadhi cha Buhanginja Mkoani Shinyanga janaMwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira, katikati akiwa na viongozi wenzake Taifa  wakitembelea mabweni  kwenye kituo cha  Buhanginja Mkoani Shinyanga 



Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akizungumza na watoto walemavu wenye albinism,walemavu wa macho na kusikia waliopo kwenye kituo cha kuwahifadhi cha...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo mtoto Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka...

 

11 years ago

GPL

MADENTI WATANO WALAWITIWA KWA MPIGO NA MWENZAO!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro. Dunia imekwisha! Jeshi la polisi mkoani hapa linamshikilia mtoto wa miaka 14 (jina linahifadhiwa) anayesoma darasa la sita kwa tuhuma nzito ya kuwalawiti wenzake watano kwa mpigo. Watoto waliolawitiwa na mwenzao mwenye miaka 14. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri katika Mtaa wa Twanga Pepeta Kijiji cha Fulwe-Dindili Kata ya Mikese Wilaya ya Morogoro Vijijini mkoani hapa ambapo dogo huyo...

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana wabakwa, wanyongwa

WASICHANA saba wamepoteza maisha wilayani Nachingwea mkoani Lindi baada ya kubakwa na kunyongwa kisha kuwekewa vijiti na chupa kwenye sehemu zao za siri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani