Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasichana wabakwa, wanyongwa

WASICHANA saba wamepoteza maisha wilayani Nachingwea mkoani Lindi baada ya kubakwa na kunyongwa kisha kuwekewa vijiti na chupa kwenye sehemu zao za siri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanawake 2 wanyongwa kisiwani

POLISI mkoani Mwanza imetaka wakazi wa kisiwa cha Ukara wilaya ya Ukerewe, kuacha usiri badala yake wasaidie kupata watu waliohusika na mauaji ya wanawake wawili yaliyotokea kisiwani hapo jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wanyongwa kwa mihadarati

Kasisi mmoja amefuchua kuwa kuna idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika katika magereza ya Hong Kong wengi wao wakiwa ni kutoka Tanzania ambao wamenyongwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Viongozi 2 wa upinzani wanyongwa Bangladesh

Viongozi wawili wa upinzani wamenyongwa nchini Bangladesh kutokana na uhalifu wa kivita wakati wa vita vya uhuru 1971.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanyongwa kwa kufanya ushirikina China

Wanachama wawili wa kundi la ushirikina nchini Uchina wamenyongwa kwa madai ya kumuua mwanamke mmoja katika mkahawa wa McDonald's.

 

11 years ago

BBCSwahili

wanawake wabakwa gerezani - DRC

Utafiti mpya umeonesha kuwa ubakaji unatumiwa gerezani kama adhabu kwa wanawake wanaojihusisha na siasa nchini DRC.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wabakwa kisha kunyongwa India

Wasichana wawili wa kihindi waliopatikana wakiwa wananing'inia kwenye mti katika jimbo la Uttar Pradesh, walikuwa wamebakwa.

 

11 years ago

GPL

WATOTO WAWILI WA KIKE WABAKWA

Stori:  Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
WIMBI la ubakaji wa watoto wadogo limeendelea, baada ya watu wawili kuripotiwa kuwabaka wasichana wadogo wa kike katika matukio mawili tofauti wiki iliyopita. Huko Mbagala Zakhem, jijini Dar, kijana aliyefahamika kwa jina moja la Robert alimbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa baada ya kumnywesha bia na baadaye kumchoma kwa kisu chenye moto katika harakati za kulazimisha kitendo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake 90;Ujerumani wabakwa mwaka mpya

Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, ameshtushwa na taarifa kuwa wanawake tisini walibakwa wakati wa sherehe za mwaka mpya 2016 .

 

10 years ago

Habarileo

Watoto wabakwa, walawitiwa, watobolewa macho

VITENDO vya ukatili kwa watoto ni changamoto kubwa katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa kutokana na kuripotiwa watoto 140 waliobakwa, kutobolewa macho, kulawitiwa, kutelekezwa na wengine kupoteza maisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani