Wanyongwa kwa kufanya ushirikina China
Wanachama wawili wa kundi la ushirikina nchini Uchina wamenyongwa kwa madai ya kumuua mwanamke mmoja katika mkahawa wa McDonald's.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Watanzania wanyongwa kwa mihadarati
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Wanaume wanne walioshtakiwa kwa ubakaji na mauaji wanyongwa nchini India
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
India: Wanaume wanne wanyongwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya basi
11 years ago
Habarileo17 May
Ateketezwa kwa moto kwa imani za ushirikina
MKAZI wa Kitongoji cha Chanji Kisiwani Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Elizabeth Mwananjela (60) ameungua na kufia ndani ya nyumba yake baada ya kuteketezwa na moto na watu wasiojulikana kisha kuibomoa.
10 years ago
Habarileo11 Dec
320 wauawa kwa ushirikina
ZAIDI ya watu 320 wameuawa nchini katika robo ya mwaka huu wakihusishwa na ushirikina.
10 years ago
Habarileo21 Jan
Ushirikina wahusishwa kuteketea kwa bweni
WANAFUNZI wa kike 64 wa shule ya sekondari Mpwapwa hawana mahali pa kuishi baada ya bweni lao kuteketezwa kwa moto unaosadikiwa na wanafunzi ni wa kishirikina.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jghSAoaiV1c/XuIQRabHtSI/AAAAAAAEHtc/kwnAXqNNHMAfQ6EZ2ungU1nHhta824akACLcBGAsYHQ/s72-c/KAMA.jpg)
Aua wakwe zake (mme na mke) kwa tuhuma za ushirikina
Aua wakwe zake (mme na mke) kwa tuhuma za ushirikina
Na Amiri kilagalila,Njombe
Kijana aliyejulikana kwa jina la Patrick Ngailo mkazi wa Mlangali wilayani Ludewa mkoani Njombe,anashikiliwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya wakwe zake (mme na mke) akiwatuhumu ni washirikina wanaomsababishia maradhi ya mara kwa mara.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa amesema kijana huyo alitenda kosa hilo katika kijijji hicho June 8,2020 majira ya saa moja jioni lakini wananchi kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv8PvpOvKvOLErdQHqxU7lY-TQTa-N4baQvmSbgVND93UQ82O2qb3us*vUOY4Zo7r86523I5nDow383x0eoruDR8/Songea.jpg)
KIKONGWE ALIYEPIGWA MAWE KWA MADAI YA USHIRIKINA HALI MBAYA