Ushirikina wahusishwa kuteketea kwa bweni
WANAFUNZI wa kike 64 wa shule ya sekondari Mpwapwa hawana mahali pa kuishi baada ya bweni lao kuteketezwa kwa moto unaosadikiwa na wanafunzi ni wa kishirikina.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Mar
Walimu wahusishwa na ubakaji kwa wanafunzi
KESI za kulawiti watoto mashuleni imeelezwa kuwa wanaofanya ukatili huo wa kijinsia kwa watoto hao baadhi yao ni walimu wanaowafundisha na kwamba kutokana na walimu hao kuhitajika shuleni hapo baadhi ya uongozi wa shule umekuwa ukishindwa kuwachukulia hatua ikiwa ni pamoja na kushindwa kuripoti katika dawati hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT2OP20hOaGxue-1eY3gcjHc0d7G1R-6wr2ltjkdei4SFafVVivKv9g5xobzc4jJh*dRziidbkyGdDe0377IC5ik/breakingnews.gif)
WAPOTEZA MAISHA KWA KUTEKETEA KWA MOTO WAKIIBA MAFUTA
10 years ago
Mtanzania16 Jan
Wabunge:Dar hatarini kuteketea kwa moto
SHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Nishati na Madini, imeonyesha hofu juu ya Jiji la Dar es Salaam kuteketea kwa moto, kutokana na uwezekano wa kulipuka kwa mabomba ya kusafirishia mafuta kunakochangiwa na wizi wa mafuta unaohusisha utoboaji wa mabomba hayo.
Kutokana na hali hiyo, wabunge wametaka vyombo vya ulinzi, hususan Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wapewe jukumu la kulinda miundombinu ya kusafirishia mafuta, huku baadhi ya...
11 years ago
GPLJENGO LA JMC LILIVYONUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Jengo la Polisi lanusurika kuteketea kwa moto
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JENGO la Polisi Makao Makuu, jijini Dar es Salaam limenusurika kuteketea kwa moto baada ya kutokea hitilafu ya umeme katika jengo hilo.
Moto huo uliwashtua wafanyakazi wa polisi makao makuu ambao walikuwa wakikimbizana kutoka nje ili kunusuru maisha yao.
Akizungumzia tukio hilo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, alisema moto huo ulianzia katika dari kwenye jengo la ghorofa ya nne ambao baada ya kuanza kuungua moto na moshi kuenea katika baadhi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avqeiGfekGbacjOyDRD8SOXJ1-SfucJBPrzGfP2IXw3P*L2dBLYQdcmzQ05gofw9ScH1uB4Ztv1C1ul8CSGGWodO/BACKUWAZI.jpg)
FAMILIA KUTEKETEA KWA MOTO SIMULIZI YAKE INATISHA!
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Basi la kampuni ya Hajis lanusurika kuteketea kwa moto!
Picha mbalimbali juu na chini zikionyesha kikosi cha zima moto manispaa ya Singida,wakijitahidi kuzima moto uliosababishwa na kazi ya kuchomomelea basi la kampuni ya Hajis ya mkoani Singida.Viti na sehemu kubwa ya ndani, imeungua vibaya.Tukio hilo limwetokea katika gereji ya kampuni ya Hajis iliyopo eneo la Utemini mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqaq9EF7g1sF6bujp7TnUEE1scSnCX1tMmncXI0c0cxncoRWBpzZl9iF0vc3CwDavzHDrXKpY4Z5Fhrnzv8OTnIOw/breakingnews.gif)
MSIKITI WA HINDU, DAR WANUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5DgDmEiKsdltOGiBJBOY05FrG-5JQAeIke0npnynwdFc37terdWZ-eWY-gJrovIe5jSabu4lXYyqcC5I*RuAWrb/IMG20150116WA0026001.jpg)
TRANSFOMA LALIPUKA NA KUTEKETEA KWA MOTO ENEO LA MGOLOLO, IRINGA