Walimu wahusishwa na ubakaji kwa wanafunzi
KESI za kulawiti watoto mashuleni imeelezwa kuwa wanaofanya ukatili huo wa kijinsia kwa watoto hao baadhi yao ni walimu wanaowafundisha na kwamba kutokana na walimu hao kuhitajika shuleni hapo baadhi ya uongozi wa shule umekuwa ukishindwa kuwachukulia hatua ikiwa ni pamoja na kushindwa kuripoti katika dawati hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXKmbZtyTakf6zIDeaM-Tqcl47yRkY7-EtPU7U3t-KUuPHqwuP1bBR47CqzwWzT01S*5EYoS3s41IddeoJAKFLRV/chuo.jpg?width=650)
WANAFUNZI WAWILI WA CHUO CHA MWENGE MOSHI WATUHUMIWA KWA UBAKAJI
11 years ago
Habarileo29 Jul
Walimu 4 wafukuzwa kazi kwa mapenzi na wanafunzi
WALIMU wanne wa kiume wa Shule ya Sekondari Mwembetogwa ya mjini Iringa, wamefukuzwa kazi baada ya kubainika wakijihusisha na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi.
11 years ago
Habarileo11 May
Serikali 'yamwaga' mamilioni kwa wanafunzi, walimu
SERIKALI jana ilimwaga mamilioni ya fedha kwa wanafunzi, walimu, shule, halmashauri na mikoa iliyofanya vizuri katika elimu miongoni mwake ikiwa ni kitita cha Sh milioni tatu kilichotolewa kwa shule 60 kila moja kwa ajili ya walimu walioleta maendeleo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avp4XYY6o6BHm9K9Nt*Qn5lz007QyngzPkLYyJ*NRGD99DeF9Tpmsoell3sJrxineu05DJwVlAAkvXRv3c221i6n/Mwanzakiwia1.jpg?width=650)
UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6MYiik3sfTg/VSauTow0R6I/AAAAAAABrUI/WzzqYcUJL_0/s72-c/439.jpg)
Balozi Seif: mapungufu sekta ya elimu ni changamoto kwa walimu na wanafunzi maskulini
![](http://4.bp.blogspot.com/-6MYiik3sfTg/VSauTow0R6I/AAAAAAABrUI/WzzqYcUJL_0/s1600/439.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi vikalio 25 Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Fujoni Bibi Jamila Soud Saleh ili kusaidia kuondosha upungufu wa madeski katika skuli hiyo iliyomo ndani ya Mkoa wa Kaskazini Unguja.
![](http://4.bp.blogspot.com/-M0Mt8uy7fnw/VSauTqMXBWI/AAAAAAABrUQ/q82RyTyJ6N4/s1600/440.jpg)
Picha na – OMPR – ZNZ.
Na Othman Khamis Ame, OMPR
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VErSKn22Ir0/XmxkmSF3HYI/AAAAAAALjB4/RWbCXdaCjWow0jsUFl62Hj5MiffICdTLACLcBGAsYHQ/s72-c/MWALIMU%2BKUBWA.jpg)
MKURUGENZI MAKAMBAKO KUTOA MOTISHA KWA WALIMU WATAKAOFAULISHA WANAFUNZI KATIKA MASOMO YAO
Mkurugezi wa halmashauri ya mji Makambako mkoani Njombe, Paulo Malala ametoa motisha kwa walimu watakaoweza kufaulisha wanafunzi katika masomo yao kwa kupata alama A ambapo watapata posho ya shilingi elfu hamsini kwa kila mwanafunzi atakayepata alama hiyo katika somo lake.
Mkurugenzi aliyasema hayo Hayo katika kikao cha tathimini ya elimu ya halmashauri hiyo na kusema kuwa motisha hiyo ni chachu kwa walimu kwani itawapelekea kufanya juhudi katika kufundisha ili...
10 years ago
Habarileo21 Jan
Ushirikina wahusishwa kuteketea kwa bweni
WANAFUNZI wa kike 64 wa shule ya sekondari Mpwapwa hawana mahali pa kuishi baada ya bweni lao kuteketezwa kwa moto unaosadikiwa na wanafunzi ni wa kishirikina.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-p_VsGvbsMq0/VD6BAzqc1CI/AAAAAAAAEDM/mVa2Zxe3sT4/s72-c/maige%2Bezekielwaziri.jpg)
WALIMU NA WANAFUNZI WAJISAIDIA VICHAKANI .
![](http://2.bp.blogspot.com/-p_VsGvbsMq0/VD6BAzqc1CI/AAAAAAAAEDM/mVa2Zxe3sT4/s640/maige%2Bezekielwaziri.jpg)
Na Mohab Matukio SHULE ya msingi Izuga Kata ya ( Isaka Jana) katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama Mkoani Shinyanga haina vyoo vya walimu na wanafunzi hali ambayo walimu pamoja na wanafunzi inasababisha kujisaidia vichakani kwazamu.
Hayo yalibainika katika risala iliyosomwa na afisa mtendaji wa Kijiji hicho Reuben Macheyeki mbele ya mbunge wa jimbo la Msalala Ezekiel Maige ilisema kwamba shule hiyo tangu ijengwe mwaka 2009 haijawahi kuwa na...
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Wanafunzi Manyara wawashukia walimu
WAKATI wadau wa elimu wakitupia lawama kwa wanafunzi na wazazi, wanafunzi mkoani Manyara wamewalaumu walimu wao kwa kutokuwa na mahusiano mazuri wawapo shuleni. Wakizungumza kwenye mkutano wa maadhimisho ya Juma...