MKURUGENZI MAKAMBAKO KUTOA MOTISHA KWA WALIMU WATAKAOFAULISHA WANAFUNZI KATIKA MASOMO YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-VErSKn22Ir0/XmxkmSF3HYI/AAAAAAALjB4/RWbCXdaCjWow0jsUFl62Hj5MiffICdTLACLcBGAsYHQ/s72-c/MWALIMU%2BKUBWA.jpg)
Na Shukrani Kawogo, Njombe.
Mkurugezi wa halmashauri ya mji Makambako mkoani Njombe, Paulo Malala ametoa motisha kwa walimu watakaoweza kufaulisha wanafunzi katika masomo yao kwa kupata alama A ambapo watapata posho ya shilingi elfu hamsini kwa kila mwanafunzi atakayepata alama hiyo katika somo lake.
Mkurugenzi aliyasema hayo Hayo katika kikao cha tathimini ya elimu ya halmashauri hiyo na kusema kuwa motisha hiyo ni chachu kwa walimu kwani itawapelekea kufanya juhudi katika kufundisha ili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Motisha kwa walimu kuongeza ufaulu
KUTOTOLEWA kwa motisha kwa walimu na wanafunzi katika shule za sekondari, ni kati ya sababu zinazosababisha shule nyingi kufanya vibaya katika matokeo ya mitihani ya taifa nchini. Mkurugenzi wa Elimu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wefiQH_2iFE/VgInsjhVcTI/AAAAAAAH62Q/rCPL71cnKDk/s72-c/1w.jpg)
WANAFUNZI NA WALIMU BORA WA MASOMO YA SAYANSI WANEEMEKA NA NMB
![](http://1.bp.blogspot.com/-wefiQH_2iFE/VgInsjhVcTI/AAAAAAAH62Q/rCPL71cnKDk/s640/1w.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--y20UMZPaHA/VgIns6HarbI/AAAAAAAH62I/NBA7cEwMJcQ/s640/2w.jpg)
9 years ago
GPLWANAFUNZI NA WALIMU BORA WA MASOMO YA SAYANSI WANEEMEKA NA NMB
11 years ago
GPLUWAZI LAENDELEA KUTOA MOTISHA KWA WASOMAJI WAKE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/GlTwYSf9M2c/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
WANAFUNZI WENYE ALBINISM: Wakatisha masomo baada ya shule yao kukosa chakula Mkoani Singida!
Katibu Mkuu wa chama cha Albino Tanzania (TAS) Ziada Nsembo akizungumza kwenye semina ya uhabarisho juu ya majukumu ya waandishi wa habari kuibua na kuandika habari zinazohusu watu wenya ulemavu wa aina mbalimbali.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA] Jumla ya wanafunzi 37 wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi mchanganyiko Izenga wilaya ya Iramba mkoani Singida,wamelazimika kukatisha masomo yao kwa muda usiojulikana kutokana na shule hiyo kukosa chakula. Imedaiwa wanafunzi hao wa...
5 years ago
Press13 Feb
Huawei yaahidi kutoa motisha kwa wasambazaji wao nchini Tanzania.
Huawei yasaidia ukuaji wa wadau Tanzania.
Mkutano wa wauzaji wa simu za Huawei Device Tanzania 2016.
Bw. Wang Guang Jun, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Huawei Device Tanzania akitoa hotuba katika mkutano na wauzaji wa simu za Huawei ujulikanao kama Huawei Device Tanzania Dealer Congress 2016 uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii.
Hivi karibuni Kampuni ya Huawei Device Tanzania ilifanya mkutano wake wa kwanza wa wasambazaji wa simu za mkononi wakitilia...
9 years ago
Press14 Nov
TAASISI ZA ELIMU ZAHIMIZWA KUWATHAMINI WAHITIMU WANAOFANYA VIZURI KATIKA MASOMO YAO.
Mwanafunzi wa mwaka 3 wa Chuo cha CBE Bw.Wilson Magembe anayesomea Utawala wa BIashara akitoa ufafanuzi kwa wageni mbalimbali waliotembelea banda la Maonesho la Utawala wakiongozwa na Mkuu wa Chuo hicho Prof.Emanuel Mjema (kulia)wakati wa hafla ya Utoaji wa Tuzo na Zawadi mbalimbali kwa wahitimu wa chuo hicho mwaka 2015.
Picha na 2. Bw. James Mkuwa – Muhadhiri Msaidizi Idara ya uongozi wa Biashara CBE akitoa ufafanuzi kwa wageni mbalimbali kuhusu elimu ya Biashara wanayoitoa...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Taasisi za Elimu zahimizwa kuwathamini wahitimu wanaofanya vizuri katika masomo yao!
Mwanafunzi wa mwaka 3 wa Chuo cha CBE Bw. Wilson Magembe anayesomea Utawala wa BIashara akitoa ufafanuzi kwa wageni mbalimbali waliotembelea banda la Maonesho la Utawala wakiongozwa na Mkuu wa Chuo hicho Prof. Emanuel Mjema (kulia)wakati wa hafla ya Utoaji wa Tuzo na Zawadi mbalimbali kwa wahitimu wa chuo hicho mwaka 2015.