Huawei yaahidi kutoa motisha kwa wasambazaji wao nchini Tanzania.
Huawei yasaidia ukuaji wa wadau Tanzania.
Mkutano wa wauzaji wa simu za Huawei Device Tanzania 2016.
Bw. Wang Guang Jun, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Huawei Device Tanzania akitoa hotuba katika mkutano na wauzaji wa simu za Huawei ujulikanao kama Huawei Device Tanzania Dealer Congress 2016 uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii.
Hivi karibuni Kampuni ya Huawei Device Tanzania ilifanya mkutano wake wa kwanza wa wasambazaji wa simu za mkononi wakitilia...
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLUWAZI LAENDELEA KUTOA MOTISHA KWA WASOMAJI WAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VErSKn22Ir0/XmxkmSF3HYI/AAAAAAALjB4/RWbCXdaCjWow0jsUFl62Hj5MiffICdTLACLcBGAsYHQ/s72-c/MWALIMU%2BKUBWA.jpg)
MKURUGENZI MAKAMBAKO KUTOA MOTISHA KWA WALIMU WATAKAOFAULISHA WANAFUNZI KATIKA MASOMO YAO
Mkurugezi wa halmashauri ya mji Makambako mkoani Njombe, Paulo Malala ametoa motisha kwa walimu watakaoweza kufaulisha wanafunzi katika masomo yao kwa kupata alama A ambapo watapata posho ya shilingi elfu hamsini kwa kila mwanafunzi atakayepata alama hiyo katika somo lake.
Mkurugenzi aliyasema hayo Hayo katika kikao cha tathimini ya elimu ya halmashauri hiyo na kusema kuwa motisha hiyo ni chachu kwa walimu kwani itawapelekea kufanya juhudi katika kufundisha ili...
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Mabenki Tanzania yaelekezwa kutoa ahueni kwa wakopaji wao
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--SuldJ7GcXA/XptSgs2eNII/AAAAAAALnYE/DC1K7DMwe20KSUNWucTYPlHscGcvgMNMACLcBGAsYHQ/s72-c/sugar%2Bof%2Btanzania.jpg)
9 years ago
StarTV22 Sep
Serikali yaahidi kutoa haki kwa wamiliki Magereji
Serikali ameahidi kumaliza mgogoro uliopo kati ya mmiliki wa eneo la Magereji Wazohill na wamiliki wa gereji zilizoko katika eneo hilo baada ya kujiridhisha kwa mipaka yake.
Mgogoro wa eneo hilo umedumu kwa muda mrefu bila utatuzi wowote kutoka kwa Serikali ambayo iliwakabidhi wananchi kufanya shughuli zao katika eneo hilo.
Wafanyabiashara wa eneo hilo la Magereji walikabidhiwa na Manispaa ya Kinondoni 2005 baada ya kuvunjwa kwa gereji bubu na kutengewa eneo maalumu na baadaye Mwenge wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NszFa7NTsoI/Xkg-6HN82hI/AAAAAAALdhs/RzCmMJiYjiscFub-uKaQLNU0u0W6ws7DwCLcBGAsYHQ/s72-c/17703646_303.jpg)
Kampuni ya Zola yaahidi kutoa mitambo kwa wanafunzi
Ahadi hiyo ilitolewa jana Jijini Arushawakati wa uzinduzi wa ofisi ya Zola mkoani Arusha,Mkurugenzi wa Kampuni ya Zola Afrika Mashariki Yusuph Nassor alisema serikali ya sasa imejilota mumsaidia mtoto kielimu kwa kutoa elimu bure, hivyo na wao wanaunga mkono jitihada hizo.
Licha ya kusaidia sekta ya elimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O21khiza4CE/Xm0kwR8cAXI/AAAAAAALjro/PZ3lbt8PX5YQM0jfJs_reLQU7-mSnAU-wCLcBGAsYHQ/s72-c/6-17-768x513.jpg)
Vodacom Tanzania Yaahidi kuendelea kusaidia Wabunifu Nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-O21khiza4CE/Xm0kwR8cAXI/AAAAAAALjro/PZ3lbt8PX5YQM0jfJs_reLQU7-mSnAU-wCLcBGAsYHQ/s640/6-17-768x513.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aXNdB63RUvQ/Xm0kkv0ReNI/AAAAAAAEGRo/dPcQ4VZgekQ545XXAmGkMzEiPCPpSzzzQCLcBGAsYHQ/s640/1-1-5-768x513.jpg)
11 years ago
Michuzi20 Jun
STAMICO YAAHIDI NEEMA KWA WACHIMBAJI WADOGO NCHINI
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/227.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/318.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/416.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Serikali yaahidi haya kwa Shirika la nyumba nchini (NHC)
Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula amesema kuwa Shirika la Nyumba nchini(NHC) limeweka mkakati wa kuhakikisha nyumba zote zilizo katika hali ya uchakavu zinafanyiwa ukarabati mkubwa.
Naibu waziri huyo ameyasema hayo Jumatatno hii bungeni, mjini Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa Viti Maalum, Savelina Silvanus Mwijage, lililohoji
nyumba za shirika la nyumba nchini (NHC) ni za muda mrefu na zimekuwa chakavu sana na nyingine zimeanza kubomoka,” Je,...