KIKONGWE ALIYEPIGWA MAWE KWA MADAI YA USHIRIKINA HALI MBAYA
![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv8PvpOvKvOLErdQHqxU7lY-TQTa-N4baQvmSbgVND93UQ82O2qb3us*vUOY4Zo7r86523I5nDow383x0eoruDR8/Songea.jpg)
Stephano Mango, Songea KIKONGWE Hilda Johnfan Pili (79) aliyepigwa mawe kutokana na imani za kishirikina katika Kijiji cha Kilagano, Peramiho mkoani Ruvuma hivi karibuni, bado hali yake ni mbaya kutokana na majeraha makubwa aliyoyapata. Kikongwe akiwa hoi baada ya kupigwa mawe kutokana na imani za kishirikina. Kikongwe huyo na Maurus Zenda (46) anayedaiwa kuwa ni mwanaye kiukoo, kwa pamoja walijeruhiwa vibaya baada ya kupigwa...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0ONyBCD4_A0/XlvfirDBYTI/AAAAAAALgPQ/zazNni1QN6ozj5NmQZosa9GYQtKwBnN0ACLcBGAsYHQ/s72-c/MVUAAAAAAAAAAAAAAA%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Ushirikina, nidhamu mbaya uwanjani ndiyo soka letu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GbqJ7PsvM80/XpQQtt_EzAI/AAAAAAALm1U/frsoz-AZWs8H1KKG_dI77hGYsXGhd4O_ACLcBGAsYHQ/s72-c/images.png)
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: WHO yaonya mataifa ya Afrika 'yajiandae kwa hali mbaya'
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...
11 years ago
Mwananchi18 May
Hali mbaya Magereza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOAhBobfkALaWCUr9DO0T7XRXJzf70BPUPfEvpzoK7ol4dO4rKTVf28pHqWDAXcQ1Qj0NoFVVf41FCbeMeLQHx*b/jack.jpg?width=650)
MASKINI JACK HALI MBAYA
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Ronaldo bado hali mbaya
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya
WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...