MADENTI WATANO WALAWITIWA KWA MPIGO NA MWENZAO!
![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRn2ZwsTVQM-bup*JwFYWz1UIMK15fwBsCaEMSNkatkrCH5VhAbbPfY-dZWmayOwH*uLXNxNQzgEInmv3Gu94TXb/denti.jpg)
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro. Dunia imekwisha! Jeshi la polisi mkoani hapa linamshikilia mtoto wa miaka 14 (jina linahifadhiwa) anayesoma darasa la sita kwa tuhuma nzito ya kuwalawiti wenzake watano kwa mpigo. Watoto waliolawitiwa na mwenzao mwenye miaka 14. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri katika Mtaa wa Twanga Pepeta Kijiji cha Fulwe-Dindili Kata ya Mikese Wilaya ya Morogoro Vijijini mkoani hapa ambapo dogo huyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLQ-CHILLA KUZINDUA MBILI KWA MPIGO
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Amini kutoka na tano kwa mpigo
NA HERIETH FAUSTINE
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Amini Mwinyimkuu, amesema alikuwa kimya kwa kuwa alitaka atoe wimbo mpya baada ya kukamilisha nyimbo tano kwa mpigo.
“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia wimbo mmoja mmoja, kwa sababu nataka kuandaa muziki mzuri ili ukitoka ufanye vizuri katika soko la muziki la ndani na nje.
9 years ago
Habarileo23 Aug
Sita wahukumiwa kifo kwa kumpasua fuvu mwenzao
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imewatia hatiani watu sita na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Oden Msongela (40), Philibert Majaliwa (20), Edwin Simba (30), Sabas Alfred (19),Wenseslaus Kakwale (30) na Maiko Simfukwe (33). Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mwakipombe Sango.
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Je,ulaji wa zaidi ya ndizi 6 kwa mpigo unauwa?
10 years ago
Mwananchi31 Mar
‘Hii ndiyo mitandao hatari kwa ‘madenti’
10 years ago
Bongo514 Nov
Mirror kuzindua video mbili kwa mpigo November 30
11 years ago
Habarileo02 Jan
Ndoa saba zabarikiwa kwa mpigo ibada ya Mwaka Mpya
NDOA saba zimebarikiwa katika ibada ya Mwaka mpya, iliyofanyika katika Kanisa la la Anglikana la Mtakatifu Yohana Mbatizaji Minyonyoni, Kigogo Luhanga, jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Dar Modern kuzindua mbili kwa mpigo Valentine’s Day
BAADA ya kundi la Dar Modern Taarab kuwatambulisha waimbaji wapya watano jana, linatarajia kufanya uzinduzi mpya wa albamu mbili kwa mpigo katika Ukumbi wa Travertine Magomeni jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vANZh8yiCxJNA8j7FFB2HclaY2CyUveSlfxGpoZXAYBK9gzCpvWD6NAhGlL8IdSD-ossEtdeLLDHfqv8F*fpoQz/1.jpg?width=750)
STAR TIMES YAZINDUA CHANELI NNE ZA BURUDANI KWA MPIGO!