Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je,ulaji wa zaidi ya ndizi 6 kwa mpigo unauwa?

Mara nyingine husemekana kwamba ulaji wa ndizi nyingi kupita kiasi kwa mpigo unaweza kuhataraisha maisha yako.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Alama ya ulaji ndizi yamponza Tavecchio

Shirikisho linalo simamia mpira wa soka ulaya,UEFA linania ya kumchunguza rais wa soka wa Italia Carlo Tavecchio

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLA KUZINDUA MBILI KWA MPIGO

Abubakar Katwila 'Q-Chilla' (kulia) akizungumza kuhusiana na ujio wake mpya katika ukumbi wa Idara ya habari (Maelezo) jijini Dar. Msanii wa zamani wa muziki wa Bongo fleva, MB DOG, Mkurugenzi wa QS, Joseph Mhonda ambaye ndiye meneja wao akielezea jambo kwa wanahabari ( hawapo pichani) pamoja na Abubakar Katwila (Q-Chilla).…

 

9 years ago

Mtanzania

Amini kutoka na tano kwa mpigo

Amini2NA HERIETH FAUSTINE

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Amini Mwinyimkuu, amesema alikuwa kimya kwa kuwa alitaka atoe wimbo mpya baada ya kukamilisha nyimbo tano kwa mpigo.

“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia wimbo mmoja mmoja, kwa sababu nataka kuandaa muziki mzuri ili ukitoka ufanye vizuri katika soko la muziki la ndani na nje.

 

 

11 years ago

GPL

MADENTI WATANO WALAWITIWA KWA MPIGO NA MWENZAO!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro. Dunia imekwisha! Jeshi la polisi mkoani hapa linamshikilia mtoto wa miaka 14 (jina linahifadhiwa) anayesoma darasa la sita kwa tuhuma nzito ya kuwalawiti wenzake watano kwa mpigo. Watoto waliolawitiwa na mwenzao mwenye miaka 14. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri katika Mtaa wa Twanga Pepeta Kijiji cha Fulwe-Dindili Kata ya Mikese Wilaya ya Morogoro Vijijini mkoani hapa ambapo dogo huyo...

 

10 years ago

Bongo5

Mirror kuzindua video mbili kwa mpigo November 30

Msanii ambaye anasimamiwa na kampuni ya Endless Fame Films ya Wema Sepetu, Mirror anatarajia kuchia video mbili mpya kwa mpigo baada ya kutoonekana kwenye runinga na video mpya toka mwaka huu umeanza. Kupitia Instagram Endlessfame wameandika: “Novemba 30 ndani ya New Maisha Club Dar es salaam @mirror26 kutoka @endlessfame atadondosha Video viwili Vipyaaaaa me nawe […]

 

11 years ago

Mwananchi

Tishio la kutoweka kwa ndizi labadili mtindo wa maisha

Tishio la kutoweka kwa migomba mkoani Kagera mbali na kusababisha uhaba mkubwa wa chakula na kuyumbisha uchumi wa familia nyingi, pia mfumo wa maisha umebadilika ili kukabiliana na hali hiyo kwa sasa.

 

10 years ago

GPL

STAR TIMES YAZINDUA CHANELI NNE ZA BURUDANI KWA MPIGO!

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa chaneli mpya ambazo ni IROKO PLAY, IROKO PLUS, AMC SERIES na STARTIMES ZONE. Kushoto akifuatilia kwa makini uzinduzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam ni msanii wa Bongo Flava na balozi mpya wa kampuni hiyo, Nurdin Bilal au maarufu kama Shetta. ...akiendelea kufafanua.…
...

 

10 years ago

Bongo5

G-Nako kuachia ngoma mbili kwa mpigo Jumanne ijayo

Rapper wa kampuni ya Weusi, G-Nako anatarajia kuachia ngoma mbili kwa mpigo Jumanne ijayo. Awali ya hapo rapper huyo aliwahi kuiambia Bongo5 kuwa yupo kwenye njia panda kuamua wimbo wake mpya wa kuachia kwakuwa amerekodi nyimbo nyingi na kali. Kutokana na hali hiyo, rapper huyo wa Arusha alisema anafikiria kutumia watu wengine wamsaidie kuamua wimbo […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dar Modern kuzindua mbili kwa mpigo Valentine’s Day

BAADA ya kundi la Dar Modern Taarab kuwatambulisha waimbaji wapya watano jana, linatarajia kufanya uzinduzi mpya wa albamu mbili kwa mpigo katika Ukumbi wa Travertine Magomeni jijini Dar es Salaam,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani