G-Nako kuachia ngoma mbili kwa mpigo Jumanne ijayo
Rapper wa kampuni ya Weusi, G-Nako anatarajia kuachia ngoma mbili kwa mpigo Jumanne ijayo. Awali ya hapo rapper huyo aliwahi kuiambia Bongo5 kuwa yupo kwenye njia panda kuamua wimbo wake mpya wa kuachia kwakuwa amerekodi nyimbo nyingi na kali. Kutokana na hali hiyo, rapper huyo wa Arusha alisema anafikiria kutumia watu wengine wamsaidie kuamua wimbo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Oct
Joh Makini, G-Nako na Nikki Wa Pili kuachia single 3 mpya wiki Ijayo, 2 zimefanyiwa video na Justin Campos
10 years ago
Bongo507 Jan
Noorah: Nilikata tamaa ya kuachia nyimbo baada ya ngoma mbili kali za mwisho kuchukuliwa poa
10 years ago
GPLQ-CHILLA KUZINDUA MBILI KWA MPIGO
10 years ago
Bongo514 Nov
Mirror kuzindua video mbili kwa mpigo November 30
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Dar Modern kuzindua mbili kwa mpigo Valentine’s Day
BAADA ya kundi la Dar Modern Taarab kuwatambulisha waimbaji wapya watano jana, linatarajia kufanya uzinduzi mpya wa albamu mbili kwa mpigo katika Ukumbi wa Travertine Magomeni jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LL8qL5yYJIk/VQLGmmOTmmI/AAAAAAAHKD4/VCo7lRDUeco/s72-c/download%2B(3).jpg)
TAARIFA KUHUSU KUANZA KWA MKUTANO WA 19 WA BUNGE JUMANNE IJAYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-LL8qL5yYJIk/VQLGmmOTmmI/AAAAAAAHKD4/VCo7lRDUeco/s1600/download%2B(3).jpg)
1.0 MISWADA YA SHERIA:1.1 MISWADA YA SHERIA YA SERIKALI:a) Kusomwa kwa mara ya Kwanza na hatua zake zote: Katika Mkutano huo, Kwa mujibu wa Kanuni ya 93(3) ya Kanuni za Bunge Toleo la Aprili 2013 Jumla ya...
9 years ago
Bongo515 Oct
Oscar Pistorius kutoka jela Jumanne ijayo
9 years ago
Bongo503 Dec
Chege kuachia video mpya Jumatatu ijayo
![Chege](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/02/Chege-300x194.jpg)
Baada ya kukaa kwa wiki kibao nchini Afrika Kusini, Chege amerejea nchini Jumatano hii.
Jumatano ijayo ataachia video ya wimbo aliomshirikisha msanii wa Nigeria, Runtown.
Chege ameiambia Bongo5 kuwa akiwa nchini humo pia alikutana na wahusika wa TV mbalimbali kubwa za Afrika ili kutambulisha kazi yake mpya na kupewa ratiba ya uzinduzi.
“Nilikuwa kwenye mzungumzo ya kupewa ratiba ya kuachia video kwenye TV kubwa na nashukuru Mungu nimerudi jana na leo nitapewa ratiba kwaajili ya TV za nje,...
9 years ago
Bongo506 Jan
G-Nako aeleza sababu za kusogeza kuachia video yake mpya ‘Original’ iliyokuwa itoke mwaka jana
![Gnako](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/08/Gnako-150x200.jpg)
Weusi walipanga kuumaliza mwaka 2015 kwa kuachia nyimbo tatu, ambapo walifanikiwa kuachia ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA na nyingine ya Nikki Wa Pili ‘Baba Swalehe’.
Single ya G-Nako ‘Original’ ambayo ndio ingekamilisha ahadi yao ya nyimbo tatu haikufanikiwa kutoka mwaka uliopita kutokana na msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuvuruga mipango iliyokuwepo.
Video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini chini ya muongozaji Justin Campos wa Gorilla Films imekamilika toka...