Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


G-Nako kuachia ngoma mbili kwa mpigo Jumanne ijayo

Rapper wa kampuni ya Weusi, G-Nako anatarajia kuachia ngoma mbili kwa mpigo Jumanne ijayo. Awali ya hapo rapper huyo aliwahi kuiambia Bongo5 kuwa yupo kwenye njia panda kuamua wimbo wake mpya wa kuachia kwakuwa amerekodi nyimbo nyingi na kali. Kutokana na hali hiyo, rapper huyo wa Arusha alisema anafikiria kutumia watu wengine wamsaidie kuamua wimbo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Joh Makini, G-Nako na Nikki Wa Pili kuachia single 3 mpya wiki Ijayo, 2 zimefanyiwa video na Justin Campos

Rappers wa Weusi wako tayari kulichafua anga la muziki kwa kuachia ngoma tatu mpya wiki Ijayo baada ya uchaguzi. Takribani miezi miwili iliyopita Joh Makini na G-Nako walienda Afrika Kusini kushoot video mbili mpya, moja ikiwa ni collabo ya Joh na rapper wa Afrika Kusini, AKA ‘Don’t Bother’ na nyingine ni single ya G-Nako iitwayo […]

 

10 years ago

Bongo5

Noorah: Nilikata tamaa ya kuachia nyimbo baada ya ngoma mbili kali za mwisho kuchukuliwa poa

Rapper Noorah aka Babastylez amedai kuwa sababu iliyomkatisha tamaa kuendelea kuachia nyimbo ni kuchukuliwa poa kwa ngoma zake mbili za mwisho alizozitoa ambazo yeye aliamini ni kali na zilistahili kufanya vizuri. “Kuna nyimbo mbili tatu nilizitoa zilikuwa kali sana kama ‘Chambervement’ niliyomshirikisha marehemu Magwair na ‘Mapenzi Sinema’ niliyomshirikisha Dataz, hazikufika katika kiwango ambacho zilistahili kufika […]

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLA KUZINDUA MBILI KWA MPIGO

Abubakar Katwila 'Q-Chilla' (kulia) akizungumza kuhusiana na ujio wake mpya katika ukumbi wa Idara ya habari (Maelezo) jijini Dar. Msanii wa zamani wa muziki wa Bongo fleva, MB DOG, Mkurugenzi wa QS, Joseph Mhonda ambaye ndiye meneja wao akielezea jambo kwa wanahabari ( hawapo pichani) pamoja na Abubakar Katwila (Q-Chilla).…

 

10 years ago

Bongo5

Mirror kuzindua video mbili kwa mpigo November 30

Msanii ambaye anasimamiwa na kampuni ya Endless Fame Films ya Wema Sepetu, Mirror anatarajia kuchia video mbili mpya kwa mpigo baada ya kutoonekana kwenye runinga na video mpya toka mwaka huu umeanza. Kupitia Instagram Endlessfame wameandika: “Novemba 30 ndani ya New Maisha Club Dar es salaam @mirror26 kutoka @endlessfame atadondosha Video viwili Vipyaaaaa me nawe […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dar Modern kuzindua mbili kwa mpigo Valentine’s Day

BAADA ya kundi la Dar Modern Taarab kuwatambulisha waimbaji wapya watano jana, linatarajia kufanya uzinduzi mpya wa albamu mbili kwa mpigo katika Ukumbi wa Travertine Magomeni jijini Dar es Salaam,...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KUHUSU KUANZA KWA MKUTANO WA 19 WA BUNGE JUMANNE IJAYO

Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge la Kumi ambao ni mahusisi kwa ajili ya Kushughulikia Miswada ya Sheria, unatarajiwa kuanza siku ya Jumanne tarehe 17 Machi 2015 na kumalizika tarehe 1 April 2015 Mjini Dodoma. Shughuli zitakazokuwepo katika Mkutano huo ni kama ifuatavyo:


1.0        MISWADA YA SHERIA:

1.1        MISWADA YA SHERIA YA SERIKALI:

a)   Kusomwa kwa mara ya Kwanza na hatua zake zote:

Katika Mkutano huo, Kwa mujibu wa Kanuni ya 93(3) ya Kanuni za Bunge Toleo la Aprili 2013  Jumla ya...

 

9 years ago

Bongo5

Oscar Pistorius kutoka jela Jumanne ijayo

Mwanariadha mlemavu wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius ataachiwa kutoka gerezani Jumanne ijayo baada ya bodi ya parole kutoa ruhusa. Pistorius alihukumiwa kwenda jela miaka mitano kwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013. Amekaa jela kwa mwaka mmoja sasa. Hata hivyo bado anakabiliwa na rufaa kwenye mahakama kuu mwezi ujao ambayo kama ikipita hukumu […]

 

9 years ago

Bongo5

Chege kuachia video mpya Jumatatu ijayo

Chege

Baada ya kukaa kwa wiki kibao nchini Afrika Kusini, Chege amerejea nchini Jumatano hii.

Chege

Jumatano ijayo ataachia video ya wimbo aliomshirikisha msanii wa Nigeria, Runtown.

Chege ameiambia Bongo5 kuwa akiwa nchini humo pia alikutana na wahusika wa TV mbalimbali kubwa za Afrika ili kutambulisha kazi yake mpya na kupewa ratiba ya uzinduzi.

“Nilikuwa kwenye mzungumzo ya kupewa ratiba ya kuachia video kwenye TV kubwa na nashukuru Mungu nimerudi jana na leo nitapewa ratiba kwaajili ya TV za nje,...

 

9 years ago

Bongo5

G-Nako aeleza sababu za kusogeza kuachia video yake mpya ‘Original’ iliyokuwa itoke mwaka jana

Gnako

Weusi walipanga kuumaliza mwaka 2015 kwa kuachia nyimbo tatu, ambapo walifanikiwa kuachia ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA na nyingine ya Nikki Wa Pili ‘Baba Swalehe’.

Joh na G-Nako

Single ya G-Nako ‘Original’ ambayo ndio ingekamilisha ahadi yao ya nyimbo tatu haikufanikiwa kutoka mwaka uliopita kutokana na msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuvuruga mipango iliyokuwepo.

Video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini chini ya muongozaji Justin Campos wa Gorilla Films imekamilika toka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani