Oscar Pistorius kutoka jela Jumanne ijayo
Mwanariadha mlemavu wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius ataachiwa kutoka gerezani Jumanne ijayo baada ya bodi ya parole kutoa ruhusa. Pistorius alihukumiwa kwenda jela miaka mitano kwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013. Amekaa jela kwa mwaka mmoja sasa. Hata hivyo bado anakabiliwa na rufaa kwenye mahakama kuu mwezi ujao ambayo kama ikipita hukumu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Oscar Pistorius apandishwa hadhi jela
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Miaka 5 jela kwa Oscar Pistorius
10 years ago
StarTV21 Oct
Oscar Pistorius atupwa jela miaka mitano.
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.
Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita.
Jaji anayetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo itaridhisha pande zote kwenye kesi hiyo.
Upande wa...
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/154F6/production/_85068278_83487936.jpg)
10 years ago
Bongo516 Sep
G-Nako kuachia ngoma mbili kwa mpigo Jumanne ijayo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LL8qL5yYJIk/VQLGmmOTmmI/AAAAAAAHKD4/VCo7lRDUeco/s72-c/download%2B(3).jpg)
TAARIFA KUHUSU KUANZA KWA MKUTANO WA 19 WA BUNGE JUMANNE IJAYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-LL8qL5yYJIk/VQLGmmOTmmI/AAAAAAAHKD4/VCo7lRDUeco/s1600/download%2B(3).jpg)
1.0 MISWADA YA SHERIA:1.1 MISWADA YA SHERIA YA SERIKALI:a) Kusomwa kwa mara ya Kwanza na hatua zake zote: Katika Mkutano huo, Kwa mujibu wa Kanuni ya 93(3) ya Kanuni za Bunge Toleo la Aprili 2013 Jumla ya...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78299000/jpg/_78299562_024337440.jpg)
Oscar Pistorius 'has no money'
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77513000/jpg/_77513598_5df8b5c9-5f95-4e9a-810a-ff74eecb69cc.jpg)
Verdict due for Oscar Pistorius
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76128000/jpg/_76128069_023069262-1.jpg)