Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oscar Pistorius apandishwa hadhi jela

Oscar Pistorius anaishi katika hadhi ya kifalme kwa muda mfupi aliotumikia kifungo chake, na hivyo kuzua mshangao kwa wafungwa wenziwe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Miaka 5 jela kwa Oscar Pistorius

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp

 

10 years ago

StarTV

Oscar Pistorius atupwa jela miaka mitano.

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.

 
Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita.

 
Jaji anayetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo itaridhisha pande zote kwenye kesi hiyo.

 
Upande wa...

 

9 years ago

Bongo5

Oscar Pistorius kutoka jela Jumanne ijayo

Mwanariadha mlemavu wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius ataachiwa kutoka gerezani Jumanne ijayo baada ya bodi ya parole kutoa ruhusa. Pistorius alihukumiwa kwenda jela miaka mitano kwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013. Amekaa jela kwa mwaka mmoja sasa. Hata hivyo bado anakabiliwa na rufaa kwenye mahakama kuu mwezi ujao ambayo kama ikipita hukumu […]

 

9 years ago

BBC

What next for Oscar Pistorius?

Why killer athlete set to remain behind bars - for now

 

10 years ago

BBC

Oscar Pistorius 'has no money'

The sentencing hearing of Oscar Pistorius hears the athlete has no money left after the seven-month trial.

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA OSCAR PISTORIUS YAANZA

Oscar Pistorius akiwasili mahakamani jijini Pretoria. KESI inayomkabili mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius (27) ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp inatolewa hukumu leo jijini Pretoria na Jaji Thokosile Masipa. Matundu manne ya risasi zilizopigwa na Pistorius, ambapo tatu kati yake zilimpiga Reeva - mkononi, kichwani na kwenye paja. Tayari hukumu hiyo imeanza kusomwa na Jaji Thokosile Masipa  ikiwa ni baada...

 

10 years ago

BBC

The making and unmaking of Oscar Pistorius

The making and unmaking of Oscar Pistorius

 

10 years ago

BBC

Oscar Pistorius sentencing to begin

The South African athlete Oscar Pistorius will return to court for sentencing after being convicted of killing his girlfriend Reeva Steenkamp.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Oscar Pistorius - in 60 seconds

BBC News looks at the key events in the Olympic athlete's life - in 60 seconds.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani