Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alama ya ulaji ndizi yamponza Tavecchio

Shirikisho linalo simamia mpira wa soka ulaya,UEFA linania ya kumchunguza rais wa soka wa Italia Carlo Tavecchio

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Je,ulaji wa zaidi ya ndizi 6 kwa mpigo unauwa?

Mara nyingine husemekana kwamba ulaji wa ndizi nyingi kupita kiasi kwa mpigo unaweza kuhataraisha maisha yako.

 

9 years ago

GPL

KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. WAKATI kampeni za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zikizidi kupamba moto, vipimo vinaonesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ana alama 6 na wa Ukawa, Edward Lowassa ana alama 9 katika mambo mbalimbali ya kikazi, Uwazi linachambua. Uwazi lilianza kwa kuchimba kwenye upande wa mambo yaliyozua maswali mengi ambapo kipimo kinaonesha...

 

11 years ago

BBC

Tavecchio appointment 'a dark day'

Former Nigeria international Sunday Oliseh is dismayed at the appointment of Carlo Tavecchio as Italian FA president.

 

10 years ago

BBC

Tavecchio banned for racist comment

The Italian football federation president, Carlo Tavecchio, is banned for six months by Uefa for making racist remarks.

 

11 years ago

BBC

Tavecchio new Italy football president

Carlo Tavecchio is elected as the new president of the Italian Football Federation despite racist comments.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sigara yamponza Szczesny

Kipa wa kikosi cha kwanza cha Arsenal, Wojciech Szczesny amepigwa faini ya pauni 20,000

 

9 years ago

Mtanzania

Kauli yamponza Jose Mourinho

Jose MourinhoLONDON, ENGLAND

CHAMA cha Soka England (FA), kimemfungia mchezo mmoja kuingia uwanjani na faini ya pauni 50,000 kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho.

Adhabu hiyo imekuja baada ya kocha huyo kukutwa na kosa la kuvunja kanuni za FA inayohusiana na maelezo yake ya mwisho wa mchezo walipofungwa na Southampton mabao 3-1.

Mourinho alikutwa na kosa la kumbwatukia mwamuzi wa mchezo huo, akidai kuwa aliwaua baada ya kuwa na ‘hofu ya kutoa maamuzi kwa Chelsea’.

FA imesema kuwa ina uwezo wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Tuzo ya clayton yamponza ester

ester4Na Deogratius Mongela

KIHEREHERE! Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama hivi karibuni alijiponza baada ya kushambuliwa mtandaoni kisa kikiwa ni kumsifu muigizaji mwenzake wa kiume, Omary Clayton aliyeshinda tuzo ya kimataifa ijulikanayo kama California Online Viewers Choice.

Akipiga stori na gazeti hili, Ester alisema aliweka ujumbe na picha kwenye ukurasa wake wa Instagram kuipongeza filamu ya Dogo Masai kuchukua tuzo nje ya nchi sambamba na kumpongeza Omary, lakini kilichotibua hali ya hewa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maneno yamponza Nick Kyrgios

Mcheza tenisi Nick Kyrgios ametozwa faini ya dola za marekani elfu kumi baada ya kumtusi mchezaji mwenzake Stan Wawrinka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani