Maneno yamponza Nick Kyrgios
Mcheza tenisi Nick Kyrgios ametozwa faini ya dola za marekani elfu kumi baada ya kumtusi mchezaji mwenzake Stan Wawrinka
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.
10 years ago
Habarileo24 Sep
'Maneno maneno' yamkera Waziri
WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Sigara yamponza Szczesny
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a8ZZitQ2zfWpYK0hlylUQSsVr2y0v2m403stBd4H3MNFwdcAyh78iZJliUF3bcEhMbhkrSPyOOt7RmhuUpU39HDEPoP1B-n9/BVR.gif?width=650)
BVR YAMPONZA MKE WA MTU
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Tuzo ya clayton yamponza ester
Na Deogratius Mongela
KIHEREHERE! Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama hivi karibuni alijiponza baada ya kushambuliwa mtandaoni kisa kikiwa ni kumsifu muigizaji mwenzake wa kiume, Omary Clayton aliyeshinda tuzo ya kimataifa ijulikanayo kama California Online Viewers Choice.
Akipiga stori na gazeti hili, Ester alisema aliweka ujumbe na picha kwenye ukurasa wake wa Instagram kuipongeza filamu ya Dogo Masai kuchukua tuzo nje ya nchi sambamba na kumpongeza Omary, lakini kilichotibua hali ya hewa...
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Kauli yamponza Jose Mourinho
LONDON, ENGLAND
CHAMA cha Soka England (FA), kimemfungia mchezo mmoja kuingia uwanjani na faini ya pauni 50,000 kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho.
Adhabu hiyo imekuja baada ya kocha huyo kukutwa na kosa la kuvunja kanuni za FA inayohusiana na maelezo yake ya mwisho wa mchezo walipofungwa na Southampton mabao 3-1.
Mourinho alikutwa na kosa la kumbwatukia mwamuzi wa mchezo huo, akidai kuwa aliwaua baada ya kuwa na ‘hofu ya kutoa maamuzi kwa Chelsea’.
FA imesema kuwa ina uwezo wa...
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mapenzi ya jinsia moja yamponza Anwar
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Alama ya ulaji ndizi yamponza Tavecchio
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Kofia ya Mugabe yamponza afisa wa chuo