Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sigara yamponza Szczesny

Kipa wa kikosi cha kwanza cha Arsenal, Wojciech Szczesny amepigwa faini ya pauni 20,000

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!

Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]

 

10 years ago

GPL

BVR YAMPONZA MKE WA MTU

Mama Khadija anayedaiwa kupigwa na mumewe. Hamida hassan VIOJA! Zoezi la uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu unaoendelea jijini Dar es Salaam juzi kati ulimponza mwanamke mmoja, Mama Khadija baada ya kupigwa vibaya na mumewe kisha kufukuzwa, baada ya kuchelewa kurudi nyumbani akitokea kituoni kujiandikisha.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1MDdj39 ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maneno yamponza Nick Kyrgios

Mcheza tenisi Nick Kyrgios ametozwa faini ya dola za marekani elfu kumi baada ya kumtusi mchezaji mwenzake Stan Wawrinka

 

10 years ago

Mtanzania

Kauli yamponza Jose Mourinho

Jose MourinhoLONDON, ENGLAND

CHAMA cha Soka England (FA), kimemfungia mchezo mmoja kuingia uwanjani na faini ya pauni 50,000 kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho.

Adhabu hiyo imekuja baada ya kocha huyo kukutwa na kosa la kuvunja kanuni za FA inayohusiana na maelezo yake ya mwisho wa mchezo walipofungwa na Southampton mabao 3-1.

Mourinho alikutwa na kosa la kumbwatukia mwamuzi wa mchezo huo, akidai kuwa aliwaua baada ya kuwa na ‘hofu ya kutoa maamuzi kwa Chelsea’.

FA imesema kuwa ina uwezo wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Tuzo ya clayton yamponza ester

ester4Na Deogratius Mongela

KIHEREHERE! Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama hivi karibuni alijiponza baada ya kushambuliwa mtandaoni kisa kikiwa ni kumsifu muigizaji mwenzake wa kiume, Omary Clayton aliyeshinda tuzo ya kimataifa ijulikanayo kama California Online Viewers Choice.

Akipiga stori na gazeti hili, Ester alisema aliweka ujumbe na picha kwenye ukurasa wake wa Instagram kuipongeza filamu ya Dogo Masai kuchukua tuzo nje ya nchi sambamba na kumpongeza Omary, lakini kilichotibua hali ya hewa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Twitter yamponza Sergi Guardiola Barcelona

Mchezaji chipukizi Sergi Guadiola ametimuliwa kutoka Barcelona saa chache baada ya kujiunga na klabu hiyo, ilipobainika aliandika jumbe za kushutumu Barca miaka miwili iliyopita.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TWB yamponza Pindi Chana bungeni

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Pindi Chana, ameshambuliwa na wabunge kwa kitendo cha Benki ya Wanawake Tanzania, (TWB), kufungua vituo vya kutolea mikopo mikoa ya Nyanda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kofia ya Mugabe yamponza afisa wa chuo

Afisa mmoja Chuo Kikuu cha Zimbabwe amesimamishwa kazi baada yake kudaiwa kumpa Rais Mugabe kofia ndogo sana wakati wa mahafali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapenzi ya jinsia moja yamponza Anwar

Hatima ya kiongozi wa upinzani nchini Malaysia Anwar Ibrahim ni mwezi march mwaka huu iwapo atafungwa jela ama la.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani