Twitter yamponza Sergi Guardiola Barcelona
Mchezaji chipukizi Sergi Guadiola ametimuliwa kutoka Barcelona saa chache baada ya kujiunga na klabu hiyo, ilipobainika aliandika jumbe za kushutumu Barca miaka miwili iliyopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Guardiola arejea Barcelona
10 years ago
BBCSwahili12 May
Guardiola aapa kuinyamazisha Barcelona
5 years ago
Barca Blaugranes21 Feb
Pep Guardiola takes a shot at Barcelona over FFP sanctions
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Barcelona yavunja Mkataba na Guardiola saa moja baada ya kusaini
Sergi Guardiola.
Barcelona, Hispania
KLABU ya Barcelona nchini Hispania imeingia kwenye headline leo baada ya kuvunja mkataba wake na mchezaji Sergi Guardiola saa moja baada ya kumsajili.
Hii imetokea baada ya Sergi Guardiola (hana uhusiano na Pep) kuandika kwenye mtandao wa twitter maneno ambayo yanaonesha kuuchukiza uongozi wa Barca.
Kiungo Guardiola mwenye umri wa miaka 24, kabla ya kujiunga na Barca alikuwa akichezea timu ya Alcorcon inayoshiriki ligi ndogo za Hispania.
Walichokisema...
10 years ago
Mtanzania19 Jan
Guardiola ampigia simu Messi kwa Siri, amshauri asiondoke Barcelona
PEP Guardola amemshauri mshambuliaji Lionel Messi kubakia Barcelona akimtaka nyota huyo wa Argentina kuwa mtulivu na kuonyesha imani kwa mipango ya kocha wake wa sasa, Luis Enrique.
Wiki iliyopita mchezaji huyo aliyewahi kunyakua tuzo ya mchezaji bora wa mwaka mara nne, aliweka wazi kuwa huenda akaondoka Camp Nou baada ya kukiri kuwa hajui atakuwa wapi msimu ujao.
Mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wamekuwa wakihusishwa na mpango wa kumwaga fedha ili kumnasa mchezaji huyo,...
5 years ago
Bleacher Report20 Feb
Pep Guardiola Warns Barcelona 'Don't Talk Too Loud' About Man City FFP Ban
5 years ago
Daily Post Nigeria22 Feb
Champions League: Guardiola hits back at Barcelona for thanking UEFA over ban on Man City
5 years ago
Quartz01 Mar
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Sigara yamponza Szczesny