Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Guardiola aapa kuinyamazisha Barcelona

Bayern Munich imesema kuwa itang'ang'ana hadi dakika ya mwisho kubadilsha matokeo ya 3-0 dhidi ya Barcelona wakati timu hizo zitakapokutana leo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Guardiola arejea Barcelona

Uswisi Ni kama kocha Pep Guardiola amerejeshwa Barcelona kwenye mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baina ya Bayern Munich na Barcelona unaoitwa fainali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Twitter yamponza Sergi Guardiola Barcelona

Mchezaji chipukizi Sergi Guadiola ametimuliwa kutoka Barcelona saa chache baada ya kujiunga na klabu hiyo, ilipobainika aliandika jumbe za kushutumu Barca miaka miwili iliyopita.

 

5 years ago

Barca Blaugranes

Pep Guardiola takes a shot at Barcelona over FFP sanctions

Pep Guardiola takes a shot at Barcelona over FFP sanctions  Barca BlaugranesLionel Messi admits Manchester City are \"screwed\" after Champions League ban  GIVEMESPORTMan City Could Apply for Champions League Ban to Be Frozen During CAS Appeal  90min‘I will be here next season’ – Pep Guardiola explains why he won’t leave Man City this summer  CaughtOffsideBanned from Europe, City may still have to pay huge European bonuses: report  The Citizen DailyView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Global Publishers

Barcelona yavunja Mkataba na Guardiola saa moja baada ya kusaini

Rescissione-Sergi-GuardiolaSergi Guardiola.

Barcelona, Hispania

KLABU ya Barcelona nchini Hispania imeingia kwenye headline leo baada ya kuvunja mkataba wake na mchezaji Sergi Guardiola saa moja baada ya kumsajili.

Hii imetokea baada ya Sergi Guardiola (hana uhusiano na Pep) kuandika kwenye mtandao wa twitter maneno ambayo yanaonesha kuuchukiza uongozi wa Barca.

SERGI_GUARDIOLA_GETAFEKiungo Guardiola mwenye umri wa miaka 24, kabla ya kujiunga na Barca alikuwa akichezea timu ya Alcorcon inayoshiriki ligi ndogo za Hispania.

Walichokisema...

 

10 years ago

Mtanzania

Guardiola ampigia simu Messi kwa Siri, amshauri asiondoke Barcelona

Lionel_Messi_2205072bPEP Guardola amemshauri mshambuliaji Lionel Messi kubakia Barcelona akimtaka nyota huyo wa Argentina kuwa mtulivu na kuonyesha imani kwa mipango ya kocha wake wa sasa, Luis Enrique.
Wiki iliyopita mchezaji huyo aliyewahi kunyakua tuzo ya mchezaji bora wa mwaka mara nne, aliweka wazi kuwa huenda akaondoka Camp Nou baada ya kukiri kuwa hajui atakuwa wapi msimu ujao.
Mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wamekuwa wakihusishwa na mpango wa kumwaga fedha ili kumnasa mchezaji huyo,...

 

5 years ago

Daily Post Nigeria

Champions League: Guardiola hits back at Barcelona for thanking UEFA over ban on Man City

Champions League: Guardiola hits back at Barcelona for thanking UEFA over ban on Man City  Daily Post NigeriaIt's 'screwed' if Man City can't play in UCL, says Messi  The World GameManchester City won't be forced to sell star players if two-year Champions League ban is enforced  Daily MailPep Guardiola commits to Manchester City, slams Barcelona president  The New PaperRivaldo makes Pep Guardiola Barcelona claim after Man City UEFA ban  Manchester Evening NewsView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Bleacher Report

Pep Guardiola Warns Barcelona 'Don't Talk Too Loud' About Man City FFP Ban

Pep Guardiola Warns Barcelona 'Don't Talk Too Loud' About Man City FFP Ban  Bleacher ReportLionel Messi admits Manchester City are \"screwed\" after Champions League ban  GIVEMESPORTBanned from Europe, City may still have to pay huge European bonuses: report  The Citizen Daily'It's not finished' - Pep reiterates commitment to Man City despite UEFA ban  Goal.comMan City Could Apply for Champions League Ban to Be Frozen During CAS Appeal  90minView Full coverage on Google...

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama aapa kuiangamiza IS

Rais Barack Obama amesema kuwa Marekani na washirika wake hawatalegeza vita vyao dhidi ya wanamgambo wa kiislamu wa Islamic State.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aapa kumuenzi Sokoine

MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema endapo uchaguzi utafanyika leo, atashinda kwa asilimia 80, lakini akasema anachokifanya sasa ni kupita kwa wananchi ili kuongeza idadi ya kura kufikia asilimia zaidi ya 90.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani