Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama aapa kuiangamiza IS

Rais Barack Obama amesema kuwa Marekani na washirika wake hawatalegeza vita vyao dhidi ya wanamgambo wa kiislamu wa Islamic State.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Tambwe aapa kuiangamiza KCC leo

Mshambuliaji  wa kimataifa wa Simba, Gilbert Kaze ( katikati) na Amissi Tambwe (kulia). Na Lucy Mgina
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, amesema atakaza na kuhakikisha anaipa kombe la kwanza timu yake watakapocheza na KCC ya Uganda, leo Jumatatu visiwani Zanzibar. Simba imetinga fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi na leo itaumana na KCC ambao waliwatoa mabingwa watetezi, Azam FC. Akizungumza na… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama aapa kuangamiza Islamic State

Rais Barack Obama amesema Marekani itashambulia kundi la Islamic state kote nchini Syria na Iraq ili kuwanyima makao ya kujificha.

 

10 years ago

Mwananchi

CUF inavyotumia Escrow kama silaha ya kuiangamiza CCM Kusini

Wapinzani wamekusudia kuikwamisha Katiba Inayopendekezwa huku wakielekeza nguvu zao kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kwa lengo la kukiangusha chama tawala.

 

10 years ago

BBCSwahili

Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?

Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli aapa kufa na makandarasi

Waziri wa ujenzi, Dk John Magufuli ametoa onyo kwa makandalasi wabovu wanaojenga barabara chini ya kiwango kuwa kamwe hatakuwa tayari kufukuzwa kazi na Rais Jakaya Kikwete kutokana na uzembe wao, bali ataendelea kuwatimua kama hawatatekeleza kile walichokubaliana.

 

9 years ago

Habarileo

Mkurugenzi aapa ‘kutumbua majipu’

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, John Aloyce amesema amejipanga kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa wafanyakazi wa halmashauri hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakyembe aapa kuwawajibisha TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameahidi kuichukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu bodi ya zabuni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) baada ya kubainika ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya mabehewa ya kubebea kokoto.

 

9 years ago

Habarileo

Mwenyekiti aapa kutumbua majipu

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Isack Mahela, amesema atafuata nyayo za Rais John Magufuli, ili ayatumbue majipu yote yaliyoko katika halmashauri hiyo, ambayo yamekuwa yakitafuna fedha za miradi ya maendeleo bila aibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani