Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF inavyotumia Escrow kama silaha ya kuiangamiza CCM Kusini

Wapinzani wamekusudia kuikwamisha Katiba Inayopendekezwa huku wakielekeza nguvu zao kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kwa lengo la kukiangusha chama tawala.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE WA CUF MKOA WA KUSINI PEMBA ATIMKIA CCM

  Mbunge wa Wawi Mkoa wa Kusini Pemba (CUF), Ahmed Juma Ngwali (mwenye flana nyekundu) amejivua uanachama wa chama hicho na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Ngwali ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 2, 2020 mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole ambaye yupo Zanzibar katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilaya za kisiwani Pemba.
Mbunge huyo amesema anajiunga CCM kwa sababu chama hicho tawala kinapeleka maendeleo kwa wananchi.
Ngwali anaungana na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe kulipiza kisasa kama Silaha atauawa

 BAADA ya kunyaka nyuzi kuwa baadhi ya makada wa Chama cha Mauaji (CcM) kupanga kumnyotoa roho katibu mkuu wa Chakudema Dk. Willy Silaha, Kijiwe kimeamua kutoa msimamo wake kuhusiana na huu mfumo...

 

11 years ago

BBCSwahili

China yaipa silaha Sudan Kusini

Inaripotiwa kuwa China imetuma silaha zenye thamani ya dola milioni 38 nchini Sudan Kusini licha ya nchi hiyo kukabiliwa mgogoro wa kisiasa

 

9 years ago

BBCSwahili

UN: Mahasimu Sudan Kusini wanahodhi silaha

Ripoti ya Umoja wa Mataifa imeshutumu serikali na waasi nchini Sudan Kusini kwa kuendelea kuhodhi silaha na kukiuka mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi Agosti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wito watolewa silaha zisiuzwe Sudan Kusini

Mashirika ya kutoa misaada yametoa wito wa kutaka kusitishwa kuuzwa kwa silaha kwa Sudan Kusini ambapo mapigano yamechacha

 

10 years ago

GPL

WAHITIMU KIDATO CHA SITA JANGWANI WAASWA KUTUMIA ELIMU KAMA SILAHA YA UKOMBOZI

Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola akisalimiana na baadhi ya wahitimu wa kidato cha sita mwishoni mwa wiki wakati alipokuwa mgeni rasmi katika wa mahafali hayo shuleni Jangwani sekondari iliyopo manispaa ya Ilala Jijini Dare s salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola (wa katikati) na baadhi wa viongozi wa shule wakielekea eneo la mahafali ya kidato cha sita ya shule ya...

 

10 years ago

Habarileo

CUF wajipanga kuandamana kupinga ufisadi Escrow

CHAMA cha Wananchi (CUF) kwa kushirikiana na wadau wengine kinaandaa maandamano ya kulaani vitendo walivyoviita vya kifisadi vilivyoibuliwa kuhusu akaunti ya Tegeta ya Escrow bungeni na kuwapongeza wabunge walioibua hoja hiyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Magenge ya uhalifu yaamua kuweka silaha kando Afrika Kusini

Jinsi virusi vya corona vilivyoshinikiza usitishwaji wa vita kati ya magenge hasimu ya uhalifu Afrika Kusini.

 

10 years ago

Bongo5

Korea Kaskazini yaishutumu US kusambaza Ebola na kutumia Afrika kama sehemu ya kujaribia silaha hiyo ya Kibailojia

Koreas Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kusambaza makusudi virusi vya ugonjwa wa Ebola na kwamba inatengeneza silaha hiyo ya kibailojia ili kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani. Taifa hilo limelazimika kufunga mipaka yake kuzuia watalii ikiwa ni pamoja na kumtenga kila anayeingia. Ripoti ya Korean Central News Agency (KCNA) inadai kuwa aliyekuwa msaidizi wa Rais wa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani