Korea Kaskazini yaishutumu US kusambaza Ebola na kutumia Afrika kama sehemu ya kujaribia silaha hiyo ya Kibailojia
Koreas Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kusambaza makusudi virusi vya ugonjwa wa Ebola na kwamba inatengeneza silaha hiyo ya kibailojia ili kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani. Taifa hilo limelazimika kufunga mipaka yake kuzuia watalii ikiwa ni pamoja na kumtenga kila anayeingia. Ripoti ya Korean Central News Agency (KCNA) inadai kuwa aliyekuwa msaidizi wa Rais wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
silaha za Korea kaskazini zazuwiwa
Umoja wa Mataifa umeiwekea vikwazo Kampuni ya Meli ya Korea Kaskazini ambayo ilikuwa ikiendesha Meli iliyokamatwa.
10 years ago
BBCSwahili11 May
Korea Kaskazini yazindua Silaha kali
Serikali ya Korea Kusini imeshtushwa na picha zilizochapishwa katika magazeti ya Korea Kaskazini zikionyesha nyambizi zenye uwezo mkubwa
10 years ago
GPL
WAHITIMU KIDATO CHA SITA JANGWANI WAASWA KUTUMIA ELIMU KAMA SILAHA YA UKOMBOZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola akisalimiana na baadhi ya wahitimu wa kidato cha sita mwishoni mwa wiki wakati alipokuwa mgeni rasmi katika wa mahafali hayo shuleni Jangwani sekondari iliyopo manispaa ya Ilala Jijini Dare s salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola (wa katikati) na baadhi wa viongozi wa shule wakielekea eneo la mahafali ya kidato cha sita ya shule ya...
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?
Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani
Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.
10 years ago
BBCSwahili22 Aug
Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini
Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia
10 years ago
Bongo529 Oct
The Lonely Planet yaitaja Afrika Mashariki kama sehemu bora ya kuitembelea mwaka 2016
Jarida la masuala ya usafiri na utalii duniani, The Lonely Planet limetoa orodha ya ‘Best in Travel 2016.’ Orodha hiyo inajumuisha maeneo ya kuvutia ambayo watu wanapaswa kuyatembelea mwakani. Jarida hilo limeijumuisha Afrika Mashariki kwenye orodha ya ‘Top 10 Best Value Destinations.’ Afrika Mashariki imetajwa kuwa ni eneo lenye mandhari asili ya kuvutia, wanyama na […]
9 years ago
BBCSwahili07 Jan
Korea Kaskazini na bomu la Hydrogen
Korea Kaskazini kufanya jaribio la bomu la nyuklia , Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekubaliana kuiwekea vikwazo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania