The Lonely Planet yaitaja Afrika Mashariki kama sehemu bora ya kuitembelea mwaka 2016
Jarida la masuala ya usafiri na utalii duniani, The Lonely Planet limetoa orodha ya ‘Best in Travel 2016.’ Orodha hiyo inajumuisha maeneo ya kuvutia ambayo watu wanapaswa kuyatembelea mwakani. Jarida hilo limeijumuisha Afrika Mashariki kwenye orodha ya ‘Top 10 Best Value Destinations.’ Afrika Mashariki imetajwa kuwa ni eneo lenye mandhari asili ya kuvutia, wanyama na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-apnuq13vzlw/VotFOa_2SsI/AAAAAAAAZA8/Hl4PPvbWugc/s72-c/IMG_3315%2B%25281024x683%2529.jpg)
MBUNGE WA AFRIKA MASHARIKI NDELAKINDO KESSY AWAKUMBUKA WATOTO KATIKA KUUANZA MWAKA 2016.
![](http://1.bp.blogspot.com/-apnuq13vzlw/VotFOa_2SsI/AAAAAAAAZA8/Hl4PPvbWugc/s640/IMG_3315%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zlxrcBXfib4/VotFUkWdEQI/AAAAAAAAZBU/zd7Dgp9xy28/s640/IMG_3334%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p5oAHWrHyS4/VotFXV3gcBI/AAAAAAAAZBc/JUZOPW3zXuc/s640/IMG_3335%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B9-LDrW5jdM/VotFZUDXQcI/AAAAAAAAZBk/XdbmYJJWWYI/s640/IMG_3336%2B%25281024x683%2529.jpg)
PICHA ZAIDI...
10 years ago
Bongo514 Jan
Lady Jaydee ashinda ya tuzo ya Wimbo Bora wa Mwaka Afrika Mashariki, ‘Yahaya’ kwenye Bingwa Music Awards -Kenya
9 years ago
Bongo528 Dec
Don Jazzy atangaza kustaafu muziki mwaka 2016 kama msanii
![don jazzy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/don-jazzy-300x194.jpg)
Don Jazzy, producer na muimbaji kutoka Nigeria amesema kuwa mwaka 2016 ana mpango wa kuacha kuimba na kubaki kuwa producer.
Don Jazzy ambaye ni boss wa Mavin Records yenye wasanii kama Tiwa Savage, ametangaza uamuzi huo kupitia Twitter.
This artist work no easy jare. 2016 I'm retiring my artist side jor. #OneLagosFiesta for now sha.
— DON JAZZY (@DONJAZZY) December 27, 2015
Aliendelea kuthibitisha alichokimaanisha kama kweli anaacha kuimba baada ya shabiki mmoja kumuuliza kama yuko serious,...
10 years ago
Bongo503 Dec
Korea Kaskazini yaishutumu US kusambaza Ebola na kutumia Afrika kama sehemu ya kujaribia silaha hiyo ya Kibailojia
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Ripoti: Rwanda inaongoza kwa utawala bora Afrika Mashariki
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE APOKEA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA MASHARIKI
9 years ago
StarTV23 Sep
Wana-Afrika Mashariki waishia nje wamtunuku Rais Kikwete utawala bora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo nyingine, mara hii ikitolewa na wananchi wa Afrika Mashariki wanaoishi nje hususani Marekani ikilenga kutambua utawala bora wa uongozi wake katika nchi hizo.
Tuzo hiyo imetolewa kwa ushirikiano kati ya Wana-Afrika Mashariki hao na Baraza la Biashara la Waishio Nje EADBC ambalo linaunganisha wafanyabiashara wa nchi hizo.
Tuzo hiyo kwa Rais Kikwete ilitolewa usiku wa Jumapili, Septemba 20, 2015, katika sherehe...
9 years ago
Vijimambo18 Sep