Ripoti: Rwanda inaongoza kwa utawala bora Afrika Mashariki
Rwanda inaongoza kwa utawala bora katika eneo la Afrika Mashariki, kwa mujibu wa ripoti mpya kuhusu utawala barani Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
Waziri Mkuchika: Tanzania ni nchi ya pili Afrika Mashariki kwa Utawala Bora na Vita dhidi ya Rushwa
Brass Band ya Jeshi la Polisi ikiongoza maandamano ya Maadhimishi ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyoanza kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salam.
Hussein Makame-MAELEZO
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika amesema kuwa Tanzania inashika nafasi ya pili kati ya nchi tano za Shirikisho la Afrika Mashariki katika suala la Utawala Bora na vita dhidi ya Rushwa.
Waziri Mkuchika amayasema hayo wakati akizindua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma...
9 years ago
StarTV23 Sep
Wana-Afrika Mashariki waishia nje wamtunuku Rais Kikwete utawala bora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo nyingine, mara hii ikitolewa na wananchi wa Afrika Mashariki wanaoishi nje hususani Marekani ikilenga kutambua utawala bora wa uongozi wake katika nchi hizo.
Tuzo hiyo imetolewa kwa ushirikiano kati ya Wana-Afrika Mashariki hao na Baraza la Biashara la Waishio Nje EADBC ambalo linaunganisha wafanyabiashara wa nchi hizo.
Tuzo hiyo kwa Rais Kikwete ilitolewa usiku wa Jumapili, Septemba 20, 2015, katika sherehe...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-biQjZxY4b0Y/VgD05uw4wdI/AAAAAAAH6vg/Tj9KCK84vh8/s72-c/unnamed.jpg)
JK apokea Tuzo ya Utawala Bora ya Baraza la Biashara la Wana-Afrika Mashariki Waishio Marekani
![](http://3.bp.blogspot.com/-biQjZxY4b0Y/VgD05uw4wdI/AAAAAAAH6vg/Tj9KCK84vh8/s640/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NjyyuEV20cY/XoHkLUle3BI/AAAAAAALlh8/PmM1csaW52ITn8T4SMgXpu5g_wj8-1jywCLcBGAsYHQ/s72-c/xpresident-paul-kagame.jpg.pagespeed.ic.jpd2dkVyRN.jpg)
Rwanda yaongoza Afrika Mashariki kwa Maambukizi ya COVID-19, wagonjwa wafikia 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-NjyyuEV20cY/XoHkLUle3BI/AAAAAAALlh8/PmM1csaW52ITn8T4SMgXpu5g_wj8-1jywCLcBGAsYHQ/s640/xpresident-paul-kagame.jpg.pagespeed.ic.jpd2dkVyRN.jpg)
Katika hotuba yake kwa taifa usiku wa Ijumaa Rais Paul Kagame alisema idadi hiyo itaendelea kuongezeka kwasababu wale waliotangamana na waathirika wanaendelea kutafutwa.
Katika visa vya hivi punde vya maambukizi, watu sita walitokea Dubai, wawili kutoka Afrika Kusini, mmoja kutoka Nigeria na mwigine alikuwa amesafiri maeneo...
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
Rais Kikwete atunukiwa Tuzo ya Kudumisha Utawala Bora Barani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Jitihada za muongo mzima wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuimarisha na kudumisha Utawala Bora katika Tanzania zimetambuliwa kimataifa kwa Rais kutunukiwa Tuzo la Utawala Bora Barani Afrika mwaka 2015 (Good Governance in Africa.)
Rais Kikwete ametunukiwa Tuzo hiyo na Taasisi ya African Achievers Awards yenye makao yake makuu katika Afrika Kusini kutokana na kutambua mchango...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gGYwAZ7Br8k/VCB007ZkWII/AAAAAAAGlHM/bn9jANbngxI/s72-c/unnamed.jpg)
mkutano wa siku tano wa Majaji na Mahakimu wa Afrika ya Mashariki wafunguliwa mjini Kigali,Rwanda
![](http://4.bp.blogspot.com/-gGYwAZ7Br8k/VCB007ZkWII/AAAAAAAGlHM/bn9jANbngxI/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5n7AbzsSVLw/VCB01oE4o1I/AAAAAAAGlHQ/T1GZPcd-Jyk/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE APOKEA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
MichuziTASWIRA ZA MAPOKEZI YA DIAMOND BAADA YA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA WA KIUME AFRIKA MASHARIKI
9 years ago
Bongo529 Oct
The Lonely Planet yaitaja Afrika Mashariki kama sehemu bora ya kuitembelea mwaka 2016