Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANO BORA SIKU YA MDAHALO KAMA HAWEZI BORA ASEPE KAMA MWENZAKE


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMA HAMUWEZI KUACHANA BORA LISEREREKE

Ni Jumanne tena imefika huku ‘oyaoya’ za kampeni za uchaguzi mkuu zikiwa zimepamba moto kote nchini. Kila mgombea anaomba kura, lakini tusikilize sera zao badala ya kufuata ushabiki tu. Mada yangu ya leo ni; KAMA HAMUWEZI KUACHANA, BORA LISEREREKE! Mada hii inabidi kuisoma kwa upana zaidi ili kuilewa vinginevyo kwa juujuu unaweza kusema ninachochea kuvunjika kwa uhusiano. Nimefuatilia sana na kubaini kuwa, kwa hapa...

 

10 years ago

BBCSwahili

'Hakuna bora kama mimi',Mourinho ajigamba

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amesisitiza kuwa yeye ni bora kushinda yeyote yule katika kuifunza kilabu hiyo licha ya mabingwa hao watetezi wa ligi ya Uingereza kushindwa vibaya katika kipindi cha miaka 29.

 

10 years ago

Bongo5

Jose Mourinho asema hakuna bora kama yeye

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amesisitiza kuwa yeye ni bora kushinda yeyote yule katika kuifunza klabu hiyo licha kupoteza mechi tatu mfululizo katika msimu huu. Baada ya kichapo hicho cha mabao 3-1 dhidi ya Everton ,Mourinho alisema kuwa watu wengi sasa wanafurahia janga lake. “Haya ni matokeo mabaya zaidi katika kazi yangu,” alisema Mourinho. “Sijazoea […]

 

10 years ago

Mwananchi

ZEE LA NYETI: ...kama vipi bora mkoa, bongo ishaanza kuboa

Ebwana heri ya mwaka mpya, najua utakatiza tu kwa rehema zake Mwenyezi Mungu, inshaallah..

 

10 years ago

Bongo5

Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote

Timbaland amedai kuwa Tupac na Notorious B.I.G. ndio rappers bora wa muda wote. Producer huyo mahiri alisema hayo kwenye mahojiano na kipindi cha ESPN cha First Take na kuulizwa ni rappers gani wakali kuwahi kutokea kwenye muziki wa hip hop. Pamoja na kuwataja rappers hao marehemu alimpa sifa zake pia Jay Z anayemchukulia kama kaka […]

 

10 years ago

Bongo5

The Lonely Planet yaitaja Afrika Mashariki kama sehemu bora ya kuitembelea mwaka 2016

Jarida la masuala ya usafiri na utalii duniani, The Lonely Planet limetoa orodha ya ‘Best in Travel 2016.’ Orodha hiyo inajumuisha maeneo ya kuvutia ambayo watu wanapaswa kuyatembelea mwakani. Jarida hilo limeijumuisha Afrika Mashariki kwenye orodha ya ‘Top 10 Best Value Destinations.’ Afrika Mashariki imetajwa kuwa ni eneo lenye mandhari asili ya kuvutia, wanyama na […]

 

9 years ago

Bongo5

Rolling Stone waitaja ‘To Pimp a Butterfly’ ya Kendrick Lamar kama album bora mwaka 2015

kendrick-i-hat

Jarida la Rolling Stone limetoa orodha ya album bora 50 za mwaka huu.

kendrick-i-hat

To Pimp a Butterfly ya Kendrick Lamar imekamata nafasi ya kwanza.

ROLLING STONE BEST ALBUMS OF 2015

1. Kendrick Lamar – To Pimp a Butterfly
2. Adele – 25
3. Drake – If You’re Reading This It’s Too Late
4. D’Angelo and the Vanguard – Black Messiah
5. The Weeknd – Beauty Behind the Madness
6. Courtney Barnett – Sometimes I Sit and Think, and Sometimes I Just Sit
7. Jason Isbell – Something More Than Free
8. Various Artists...

 

10 years ago

GPL

REMEMBERING MEZ B: moja ya nyimbo zake bora; KAMA VIPI Feat Ray C & Noorah

Hii video ni moja ya nyimbo zake bora hayati Mez B R.I. P; KAMA VIPI Feat Ray C & Noorah

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kutajwa Kama Muigizaji Bora wa Kike Kwenye Tuzo Za TAFA 2015, Irene Paul Ameyasema Haya

Staa mrembo wa Bongo Movies, Irene Paul  ameibuka mshindi wa tuzo za Tanzania Film Awards  (TAFA) 2015 kwenye kipengele cha muigizaji bora wa kike ‘Best Actress (in Lead Role)’ ambapo alikuwa akichuana na Irene Veda ,Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ , Rose Ndauka na Shamsa Ford.

Irene  ameeleza kuwa  filamu ya Never Give Up aliyoicheza na staa kutoka Ghana  Van Vicker ndioiliyomfanya ashind tuzo hiyo.

“Filamu iliyonifanya niwe msanii bora wa 2015 ni NEVER GIVE UP niliyoitwa na mzee kambi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani