Kijiwe kulipiza kisasa kama Silaha atauawa
BAADA ya kunyaka nyuzi kuwa baadhi ya makada wa Chama cha Mauaji (CcM) kupanga kumnyotoa roho katibu mkuu wa Chakudema Dk. Willy Silaha, Kijiwe kimeamua kutoa msimamo wake kuhusiana na huu mfumo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Jan
CUF inavyotumia Escrow kama silaha ya kuiangamiza CCM Kusini
Wapinzani wamekusudia kuikwamisha Katiba Inayopendekezwa huku wakielekeza nguvu zao kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kwa lengo la kukiangusha chama tawala.
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-2ybTIpW6Zds/VTtn-nb0aaI/AAAAAAAHTFs/qabxbNS_f1E/s1600/01.jpg)
WAHITIMU KIDATO CHA SITA JANGWANI WAASWA KUTUMIA ELIMU KAMA SILAHA YA UKOMBOZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola akisalimiana na baadhi ya wahitimu wa kidato cha sita mwishoni mwa wiki wakati alipokuwa mgeni rasmi katika wa mahafali hayo shuleni Jangwani sekondari iliyopo manispaa ya Ilala Jijini Dare s salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola (wa katikati) na baadhi wa viongozi wa shule wakielekea eneo la mahafali ya kidato cha sita ya shule ya...
10 years ago
Bongo503 Dec
Korea Kaskazini yaishutumu US kusambaza Ebola na kutumia Afrika kama sehemu ya kujaribia silaha hiyo ya Kibailojia
Koreas Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kusambaza makusudi virusi vya ugonjwa wa Ebola na kwamba inatengeneza silaha hiyo ya kibailojia ili kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani. Taifa hilo limelazimika kufunga mipaka yake kuzuia watalii ikiwa ni pamoja na kumtenga kila anayeingia. Ripoti ya Korean Central News Agency (KCNA) inadai kuwa aliyekuwa msaidizi wa Rais wa […]
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Aua mgambo kulipiza kisasi
JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikilia Elias Balandese na Faustine Fidel kwa tuhuma za mauaji ya askari mgambo, Shabani Mbadi mkazi wa Kijiji cha Nyamidaho wilayani Kasulu kwa kumchoma na...
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
'Nilimtafuna binadamu kulipiza kisasi'
Alitaka kulipiza kisasi na hivyo kumtafuna binadamu mwenzake kutokana na uchungu alokuwa anahisi. Alitendewa nini?
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Mourinho:'Kulipiza kisasi inakubalika EPL'
Shirikisho la soka nchini Uingereza FA limeweka mfano mbaya kwa kubadilisha uamuzi wa kadi nyekundi aliyopewa beki wa Arsenal Gabriel Paulista kulingana na kocha wa Chelsea Jose Mourinho.
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
'Niliula mguu wa adui kulipiza kisasi' CAR
'Nilimdunga kisu kichwani na kummwagia petroli kisha kumteketeza. Baadaye nikaanza kuula mguu wake mmoja kwa mkate hadi kwenye mfupa.'
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Israel yaapa kulipiza kisasi kwa Hamas
Israel imeapa kulipiza kisasi dhidi ya wapiganaji wa Hamas wanaotuhumiwa kuwaua vijana watatu wa Israel
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania