Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israel yaapa kulipiza kisasi kwa Hamas

Israel imeapa kulipiza kisasi dhidi ya wapiganaji wa Hamas wanaotuhumiwa kuwaua vijana watatu wa Israel

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Aua mgambo kulipiza kisasi

JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikilia Elias Balandese na Faustine Fidel kwa tuhuma za mauaji ya askari mgambo, Shabani Mbadi mkazi wa Kijiji cha Nyamidaho wilayani Kasulu kwa kumchoma na...

 

11 years ago

BBCSwahili

'Nilimtafuna binadamu kulipiza kisasi'

Alitaka kulipiza kisasi na hivyo kumtafuna binadamu mwenzake kutokana na uchungu alokuwa anahisi. Alitendewa nini?

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:'Kulipiza kisasi inakubalika EPL'

Shirikisho la soka nchini Uingereza FA limeweka mfano mbaya kwa kubadilisha uamuzi wa kadi nyekundi aliyopewa beki wa Arsenal Gabriel Paulista kulingana na kocha wa Chelsea Jose Mourinho.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israeli yaapa kuiadhibu Hamas !

Hofu imetanda mashariki ya kati baada ya Israel kuapa kuadhibu kundi la Hamas la Palestina inalodai kuwauwa vijana 3 wa Israeli

 

11 years ago

BBCSwahili

'Niliula mguu wa adui kulipiza kisasi' CAR

'Nilimdunga kisu kichwani na kummwagia petroli kisha kumteketeza. Baadaye nikaanza kuula mguu wake mmoja kwa mkate hadi kwenye mfupa.'

 

11 years ago

Michuzi

marekani yaifunga Ghana 2-1 kulipiza kisasi cha kutolewa nayo mapema mwaka 2010 afrika kusini

 Kocha wa Marekani ambaye ni mshambuliaji nyota wa zamani wa Ujerumani Jurgen Klinsmann na wachezaji wake wakishangilia bao la kwanza lililofungwa sekunde ya kwanza na Clint Dempsey pichani chini Goli la dakika ya kwanza lililowekwa kimiani na Clint Dempsey na lingine la dakika za lala salama la rizevu John Brooks katika mchezo  uliopigwa usiku uliopita mjini Natal, Brazil,  ni magoli ambayo yameiwezesha Marekani kulipiza kisasi dhidi ya Ghana waliowafunga 2-1 na kuwafungasha virago...

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel:Tutajilinda na Hamas

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Israel inatakiwa kujiandaa kwa ajili ya mpango wa muda mrefu katika Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel inapinga makubaliano na Hamas

''Rais wa Palestina Mahmoud Abbas lazima afutilie mbali mkataba wa amani kati yake na kundi la Hamas ikiwa anataka amani,'' ndio kauli yake waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu

 

10 years ago

BBCSwahili

Israel yamlenga kiongozi wa Hamas

Kikundi cha Hamas kimesema mke na mtoto wa kamanda wake wa kijeshi, Mohammed Deif, wameuawa katika shambulio la Israel

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani