Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israeli yaapa kuiadhibu Hamas !

Hofu imetanda mashariki ya kati baada ya Israel kuapa kuadhibu kundi la Hamas la Palestina inalodai kuwauwa vijana 3 wa Israeli

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaapa kulipiza kisasi kwa Hamas

Israel imeapa kulipiza kisasi dhidi ya wapiganaji wa Hamas wanaotuhumiwa kuwaua vijana watatu wa Israel

 

10 years ago

BBCSwahili

Israeli yaua makamanda 3 wa Hamas.

Shambulizi la Israeli huko Rafa limewaua makamanda 3 wa Hamas

 

9 years ago

Mtanzania

Masheikh waapa kuiadhibu CCM kesho

2NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM.

KAMATI ya Masheikh na Maimamu wa Mkoa wa Dar es Salaam, wamewataka waamini wa dini ya Kiislamu na Watanzania kwa ujumla kuhakikisha wanampigia kura na kumchagua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ili kuweza kuleta mabadiliko ya kweli nchini.

Kauli hiyo ilitolewa jana wakati masheikh hao wakiwajibu wenzao wa Mwanza ambao Oktoba 17 katika kuadhimisha sherehe za mwaka mpya wa Kiislamu walikaririwa wakimtaja Lowassa kuwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yanga yaapa kufa na Okwi

KLABU ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Yusuf Manji, imesema itakata rufaa Shirikisho la Sola la Kimataifa (FIFA), kupinga uamuzi wa Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho...

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaapa kuicharaza Arsenal

Nahodha wa Liverpool Steve Gerrard anasema kuwa hatokubali kushindwa na Arsenal wikendi hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaapa kuia Platinum FC ya Zimbabwe

Serikali ya Tanzania imeipatia klabu ya Yanga ndege kwa kwenda Zimbabwe kucheza mechi ya marudiano dhidi ya wenyeji, Platinum FC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Iran yaapa kutekeleza makubaliano

Rais wa Iran Hassan Rouhani amesema nchi yake itatekeleza wajibu wake kikamilifu kuhusiana na muafaka wa nyuklia ulioafikiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Jordan yaapa kupambana na Islamic State

Mfalme wa Jordan ameahidi mapambano yasiyo na huruma dhidi ya wapiganaji wa Islamic State kufuatia kuuawa kwa rubani wa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Fasso yaapa kuwashinda wenyeji

Nahodha wa timu ya taifa ya Burkina Fasso Charles Kabore amesisitiza kuwa wataimarisha mchezo wao baada ya kushindwa na Gabon

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani